Habari watanzania!
Hivi karibuni Katibu mkuu wa NECTA aliyepita sasa ni naibu katibu mkuu TAMISEMI, ametuachia jambo geni kwenye usimamizi wa mitihani.anyway labda lina tija au wapo kwenye utafiti wa mfumo sijui kwanza nikwamba zamani ilikuwa walimu wa SEKONDARI walisimamia mitihani ya...
Kwa kweli kaka yangu ninakuaminia sana kwa kufanya uchambuzi. Hata hivyo ukimya wako kuhusu kufanya uchambuzi na utabiri wa nini itakuwa athari kisiasa kuhusu uamuzi wowote utakaohusisha kesi ya Mbowe.
Kwa mfano kwa sasa tunasubiri iwapo Mahakama itaamua Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na...
Wengi wamekuwa wakimtabiria kuwa pengine anajikomba ili apewe nafasi. Nakuhakikishia sio kabisa. Ninavyomsoma between the lines, Paskali anawananga sana hawa watawala. Nimehisi inawezekana alishasemwa uso kwa uso na kukanywa sasa kwa kuwa yeye ni mwandishi mzuri na kwa kutumia tasnia yake ya...
Wadau wasalaam,Mimi in mwanachama wa mfuko huu,kinachoniumiza ni masharti yanayoumiza yaliyowekwa,kwamfano mtu huna wazazi umelelewa na mjomba au mtu mwingine huruhusiwi kumweka km mtegemezi,toeni ufafanuzi haya ni manyanyaso
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.