Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Habari watanzania!
Hivi karibuni Katibu mkuu wa NECTA aliyepita sasa ni naibu katibu mkuu TAMISEMI, ametuachia jambo geni kwenye usimamizi wa mitihani.anyway labda lina tija au wapo kwenye utafiti wa mfumo sijui kwanza nikwamba zamani ilikuwa walimu wa SEKONDARI walisimamia mitihani ya SEKONDARI na msingi walimu wao ndio walikuwa wasimamizi,
Hivi karibuni ni mwaka wa tatu sasa wasimamizi wa mitihani imekuwa mabadilishano wa msingi wanasimamia SEKONDARI na wa SEKONDARI wanasimamia shule za msingi.
Yaani darasa la nne na la saba wasimamizi ni walimu wa sekondari
Na kidato cha pili na cha nne wasimamizi ni walimu wa shule za msingi. Sina shida na kiwango cha elimu Bali uzoefu wao na wanafunzi wao nikigezo cha kuzingatia.
Yawezekana ni kwa sababu ya sera ya Elimu msingi inajumuisha elimu ya msingi na Sekondari.
Sasa tashwishi imekuwa ni kupungua kwa usimamizi madhubuti, (learner)kutokana na kukosea kwa wasimamizi katika kufanya mambo yao ya usimamizi ndani ya chumba cha mtihani,
Chanzo changu kimebaini makosa yafuatayo.
1. Wasimamizi wengi wa sekondari wanashindwa kusoma habari au imla kama inayo paswa kwa wanafunzi wa darasa la nne au la saba hivyo kupeleka swali hilo wanafunzi wengi kukuosa ama kupata alama za chini yaani msimamizi anasoma kwa slang ,kumeza Maneno au kwa fonolojia sasa wanafunzi hao na umri wao si sawa pace inatakiwa iwe ndogo na taratibu kwa kusoma neno kama lilivyo.
2. Nyaraka za mitihani zinazo tumika msingi ni tofauti na SEKONDARI hivyo kupata makosa mengi kama yaliyotokea hivi karibuni huko chalinze.
Yule binti alimwambia msimamizi hii si namba yangu lakini yawezekana msimamizi alimdharau mtahiniwa kwa kuwa ni darasa la saba na mdogo na yeye ni msomi wa DIPLOMA au degree so ataniambia mini huyu.
Pia yawekana aliingia hofu kwamba pengine ni mbona za wizi ndo maana alikomaa ni mawazo yangu.
3. Haiba na wasifu wa walimu wa SEKONDARI nikuona mwanafunzi anafuata maelekezo kwa ufasaha na ni wakali kutokana na wanafunzi wanaowafundisha wakiwa adolescent age huko SEKONDARI sasa hawa huku wa msingi ni wadogo saana hivyo mtoto akikosea jambo au kutofuata maelekezo ya mitihani sauti zao ni kali hivyo kuleta hofu na woga hasa darasa la nne ambao umri wa ni miaka 9, au 10 hadi 11 ni wadogo hivyo kupelekea kufanya vibaya ama chini ya kiwango hata kama watafauli
Huko SEKONDARI wasimamizi kutoka msingi (walimu) wanalazimika kujionesha kama wanajua kwa kuanza kutafasiri maswali ndani ya chumba cha mtihani badala ya kusimamia tu .
Kwa wema tu na uzalendo
naomba utaratibu huu uvunjwe urudi kama kawaida zamani msingi wasimamie msingi na SEKONDARI wasimamie sekondari due to experience ya hao wasimamizi.
Kama hili linatija basii napendekeza
1. Semina za usimamizi ziongezwe muda walau siku tatu 3 ama nne 4 ili wahusika wapate uzoefu na elimu ya kutosha ili kwa malachi ya taifa tufanye vizuri kabisa pasipo kumuonea huyu mwanafunzi
2. Kuwe na mitihani katika semina ili wanaofauli ndo wapitishwe kusimamia maana walimu wanatofautiana uelewa na ushapu wa ku grasp knowledge hao watakao feli wasipewe nafasi mpaka watakapo elewa.
Nakaribisha mawazo ili chombo hiki ambacho ni mhimili wa taaruma nchini kiweze kuandaa kizazi kijacho kwa maslahi ya nchi pia kama wamefanya utafiti sawa kila raheli sasa itabidi yale mapungufu yarekebishwe.
Naomba kuwasilisha.
Hivi karibuni Katibu mkuu wa NECTA aliyepita sasa ni naibu katibu mkuu TAMISEMI, ametuachia jambo geni kwenye usimamizi wa mitihani.anyway labda lina tija au wapo kwenye utafiti wa mfumo sijui kwanza nikwamba zamani ilikuwa walimu wa SEKONDARI walisimamia mitihani ya SEKONDARI na msingi walimu wao ndio walikuwa wasimamizi,
Hivi karibuni ni mwaka wa tatu sasa wasimamizi wa mitihani imekuwa mabadilishano wa msingi wanasimamia SEKONDARI na wa SEKONDARI wanasimamia shule za msingi.
Yaani darasa la nne na la saba wasimamizi ni walimu wa sekondari
Na kidato cha pili na cha nne wasimamizi ni walimu wa shule za msingi. Sina shida na kiwango cha elimu Bali uzoefu wao na wanafunzi wao nikigezo cha kuzingatia.
Yawezekana ni kwa sababu ya sera ya Elimu msingi inajumuisha elimu ya msingi na Sekondari.
Sasa tashwishi imekuwa ni kupungua kwa usimamizi madhubuti, (learner)kutokana na kukosea kwa wasimamizi katika kufanya mambo yao ya usimamizi ndani ya chumba cha mtihani,
Chanzo changu kimebaini makosa yafuatayo.
1. Wasimamizi wengi wa sekondari wanashindwa kusoma habari au imla kama inayo paswa kwa wanafunzi wa darasa la nne au la saba hivyo kupeleka swali hilo wanafunzi wengi kukuosa ama kupata alama za chini yaani msimamizi anasoma kwa slang ,kumeza Maneno au kwa fonolojia sasa wanafunzi hao na umri wao si sawa pace inatakiwa iwe ndogo na taratibu kwa kusoma neno kama lilivyo.
2. Nyaraka za mitihani zinazo tumika msingi ni tofauti na SEKONDARI hivyo kupata makosa mengi kama yaliyotokea hivi karibuni huko chalinze.
Yule binti alimwambia msimamizi hii si namba yangu lakini yawezekana msimamizi alimdharau mtahiniwa kwa kuwa ni darasa la saba na mdogo na yeye ni msomi wa DIPLOMA au degree so ataniambia mini huyu.
Pia yawekana aliingia hofu kwamba pengine ni mbona za wizi ndo maana alikomaa ni mawazo yangu.
3. Haiba na wasifu wa walimu wa SEKONDARI nikuona mwanafunzi anafuata maelekezo kwa ufasaha na ni wakali kutokana na wanafunzi wanaowafundisha wakiwa adolescent age huko SEKONDARI sasa hawa huku wa msingi ni wadogo saana hivyo mtoto akikosea jambo au kutofuata maelekezo ya mitihani sauti zao ni kali hivyo kuleta hofu na woga hasa darasa la nne ambao umri wa ni miaka 9, au 10 hadi 11 ni wadogo hivyo kupelekea kufanya vibaya ama chini ya kiwango hata kama watafauli
Huko SEKONDARI wasimamizi kutoka msingi (walimu) wanalazimika kujionesha kama wanajua kwa kuanza kutafasiri maswali ndani ya chumba cha mtihani badala ya kusimamia tu .
Kwa wema tu na uzalendo
naomba utaratibu huu uvunjwe urudi kama kawaida zamani msingi wasimamie msingi na SEKONDARI wasimamie sekondari due to experience ya hao wasimamizi.
Kama hili linatija basii napendekeza
1. Semina za usimamizi ziongezwe muda walau siku tatu 3 ama nne 4 ili wahusika wapate uzoefu na elimu ya kutosha ili kwa malachi ya taifa tufanye vizuri kabisa pasipo kumuonea huyu mwanafunzi
2. Kuwe na mitihani katika semina ili wanaofauli ndo wapitishwe kusimamia maana walimu wanatofautiana uelewa na ushapu wa ku grasp knowledge hao watakao feli wasipewe nafasi mpaka watakapo elewa.
Nakaribisha mawazo ili chombo hiki ambacho ni mhimili wa taaruma nchini kiweze kuandaa kizazi kijacho kwa maslahi ya nchi pia kama wamefanya utafiti sawa kila raheli sasa itabidi yale mapungufu yarekebishwe.
Naomba kuwasilisha.