abdul nondo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Abdul Nondo alivyoshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa

    Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es...
  2. Katkit

    Abdul Nondo: Hakuna mtu aliyewahi kuthubutu kuandamana kwenda Ikulu zaidi ya ACT Wazalendo

    Habari zenu wanajamvi, Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked! Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
  3. Sanyambila

    Ushauri kwa NECTA: Usimamizi wa mitihani kwa shule za Sekondari na Msingi

    Habari watanzania! Hivi karibuni Katibu mkuu wa NECTA aliyepita sasa ni naibu katibu mkuu TAMISEMI, ametuachia jambo geni kwenye usimamizi wa mitihani.anyway labda lina tija au wapo kwenye utafiti wa mfumo sijui kwanza nikwamba zamani ilikuwa walimu wa SEKONDARI walisimamia mitihani ya...
  4. Abdul Nondo

    Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

    Operesheni ya Polisi-Dar es salaam dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road ichunguzwe. Kukithiri kwa vitendo vya Panya Road Mkoa wa Dar es salaam, kumezua hofu miongoni mwa jamii kwa makundi hayo kuvamia, kupora na hata kuuwa, mfano. Kifo cha mwanafunzi wa SJMC(UDSM) Maria Basso kilichotokea tar.14...
  5. sajo

    Iringa: DPP aiondoa kesi ya Abdul Nondo katika Mahakama ya Rufani ya Tanzania

    Mahakama ya Rufaa ya Tanzania leo tarehe 23/03/2022 itasikiliza na kutoa uamuzi juu ya maamuzi ya Rufaa ya kesi ya Abdul Nondo yaliyotolewa na Jaji Kente (aliyekuwa jaji wa Mahakama kuu Tanzania - Iringa). Maamuzi ya Mahakama Kuu yaliona kuwa jamhuri walishindwa kuthibitisha kesi yao pasipo...
  6. Abdul Nondo

    #COVID19 Hili la Chanjo ni hiari yako kuchagua kati ya hatari ndogo na hatari kubwa

    Kuhusu chanjo ni hiari yako kuchagua kati ya hatari ndogo (Low risk) na hatari kubwa (High risk). Kila chanjo ina lengo moja tu. Lengo la kuongeza kinga katika mwili wako. Na kila chanjo lazima iwe na ingredient ya weakened antigen au tinny fragmentation of diseasing -causing organism yaani...
  7. S

    SoC01 Mabadiliko yanayochochea Uongozi Bora

    Utawala bora na uwajibikaji ni nyenzo mojawapo muhimu sana inayohitajika katika kila Taifa hapa duniani kwa ajili ya kusonga mbele. Ni kupitia utawala bora na uwajibikaji ambapo utu wa binadamu unaweza kudhihirika na kusaidia kumtofautisha na wanyama wengine, lakini pia kumsaidia binadamu...
  8. Tindo

    Paskali Mayalla, Abdul Nondo live star Tv wakijadili Katiba Mpya

    Wadau tuangalie mjadala huo muda huu kuona nini kitajadiliwa na hawa jamaa.
  9. Abdul Nondo

    Serikali imefuta pia adhabu ya 10% inayotozwa na Bodi ya Mikopo kwa wanaochelewa kulipa deni

    Waziri wa Elimu Prof.Joyce Ndalichako leo Bungeni tarehe 4 Mei 2021. Ameiagiza Bodi ya mikopo elimu ya juu kuondoa adhabu ya asilimia 10 ya mkopo inayotozwa na kwa wanafaika wa mikopo elimu ya juu wanaochelewa kulipa mikopo hiyo baada ya miaka miwili kupita tangu kuhitimu kwao chuo. Kwaniaba ya...
  10. Abdul Nondo

    Kauli ya Spika wa Bunge Job Yustino Ndugai dhidi ya vijana

    Kutoka kauli ya vijana mjiajiri hadi kauli ya vijana kuwa wezi na kutokuwa waaminifu. Kwa ujumla wake hakuna mtu aliyefurahishwa na kauli zako Mh.Ndugai dhidi ya vijana ukiwashambulia Bungeni kwamba hawaaminiki,wana kiwango kidogo cha uwaminifu ukifafanua kwamba wakipewa mradi wasimamie wanaiba...
  11. M

    Mliosoma vyema Communication Skills na Public Speaking hii style ya Kuongea ya Abdul Nondo wa ACT-Wazalendo inaitwaje?

    Kila anapoitisha tu Press tegemea yafuatayo kutoka Kwake.... 1. Kuongea kwa Kufokafoka kuwazidi hata akina Fid Q na Chidy Benz. 2. Kutemea sana Mate ( Kulowesha ) Vipaza Sauti vya Watu kama Chatu akitaka Kula Kitoweo chake. 3. Kupenda Kupigapiga Meza utadhani ana Ugomvi nazo kwa muda mrefu. 4...
  12. domokaya

    Abdul Nondo na ACT Wazalendo acheni kuwalaghai vijana wa Tanzania

    Abdul Nondo acha kuwalaghai vijana! Baada ya chama cha ACT Wazalendo kutangaza mchakato wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi wa kugombea nafasi za urais, ubunge na udiwani, Abdul Nondo, kiongozi mwandamizi wa vijana wa chama hicho alitoa shime kwa vijana kuchukua fomu kwa wingi kuwania uteuzi...
  13. RUSTEM PASHA

    Uchaguzi 2020 Abdul Nondo atia nia ubunge Kigoma Mjini

    Watia nia ubunge kigoma mjini mpaka sasa kupitia ACT-WAZALENDO ni Abdul Nondo, Baba Levo. Bado najiuliza Zitto Kabwe atahama jimbo tena au atagombea nao kura za maoni, au hatagombea mwaka huu?
  14. M

    Kama Tanzania tumeamua kufuata mfumo wa kinga ya jumuia (herd immunity) tufanye haya kupunguza maafa

    Utangulizi Ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona umevamia kila nchi duniani na kila nchi imeamua namna yake ya kupambana nao Kwa sasa kuna namna kuu mbili zilizoko duniani ni kupunguza maambukizi (flattening the curve) na Kinga ya pamoja au ya jamii (Herd immunity). Kila...
Back
Top Bottom