pascal mayalla

  1. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla aitaka TCRA iufungie mtandao wa Twitter kwani kuna mambo machafu yanayoendelea huko

    Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini. Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe...
  2. SHANTI

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

    Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020. Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni. Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa...
  3. Niccolo Machiavelli

    JamiiForums Tanzania Magufuli anatupigania WaTanzania. Wengi wetu hatufahamu!

    Nianze kwa kusema mimi sio muumin wa chama chochote cha siasa Tanzania, lakini naipenda sana nchi yangu Tanzania. Nimekua nikimfuatilia kwa ukaribu Rais Magufuli toka ameingia madarakani mwaka 2015. Huyu mzee ni mtu ambaye nimegundua ana nia nzuri na hii nchi, ila tatizo ana maadui wengi...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla na Jacton Manyerere wakubaliana na Spika Ndugai kwa uamuzi wa kumrejesha Mwambe na wabunge 4 waliofukuzwa CHADEMA

    Wakuu Dotto Bulendu, Pascal Mayalla na Jackton Manyerere wako mubashara Star tv wakijadili uhalali wa Spika Ndugai kumrejesha bungeni Cecil Mwambe na kuwabakiza bungeni Selasini, Silinde, Komu na Lwakatare. Pascal anasisitiza kuwa Spika ana nguvu za " ziada" katika kufikia maamuzi fulani kama...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla tafadhali Jumamosi tuletee wataalamu wa sheria tujadili "Uhalali" wa ubunge wa Cecil Mwambe na Nimrod Mkono

    Naelewa kuwa wewe Pascal na mwenzio Dotto ni members humu na mmekuwa mkilipa umuhimu wa juu hili jukwaa katika kipindi chenu cha Jicho letu ndani ya habari. Nakumbuka hata juzi ulimuuliza waziri wa habari mh Mwakyembe juu ya misukosuko ya kimahakama anayokumbana nayo mkurugenzi wa Jf mh Max...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla ataka wataalamu wa Kemia waje watueleze sintofahamu ya Fumigation na Barakoa baada ya kutafakari hotuba ya Rais Magufuli

    Mwandishi wa habari nguli mh Pascal Mayalla amewataka wataalamu wa Kemia kuja hadharani na kutuchambulia faida na hasara za kupiga fumigation mitaani na kwenye vyombo vya usafiri kama kuna tija kwenye mapambano dhidi ya Corona. Kadhari watuelimishe juu ya ubora wa barakoa kama zinaweza...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: JamiiForums ndio mtandao bora kwenye utoaji elimu japokuwa wengine waliomba corona ije kupitia hukohuko

    Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini. Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

    Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge. Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba. Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa...
  9. Lennovo core i5

    JamiiForums Tanzania Viongozi Serikali za Mitaa

    Uchaguzi wa serikali za mitaa umefanyika mwezi uliopita. Naamini kila mmoja wetu anatambua kilichotokea hakuna haja kurudia kuandika hapa. Ninaamini kwa dhati kabsa kuna viongozi walioenguliwa kwenye vinyang'anyiro either kwa hujuma or kwa kutoelimishwa au kupewa semina namna ya kujaza kwa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, nakuomba umteue Pascal Mayalla kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali

    Siyo kwamba huyu aliyepo Dr Abbas hafanyi vizuri la hasha, ni kwa sababu mambo mengi mazuri unayoyafanya yanahitaji mkongwe wa habari aliyetumikia awamu zote kuweza kuyaelezea kwa ufanisi na ulinganifu. Nikisema zaidi utaona kama nampamba huyu Mayalla, basi nikuombe tu mh Rais ipitie CV ya...
  11. DAT BOY SU

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Pascal Mayalla na maono ya Askofu Kardinal Pengo

    Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa...
  12. Ndachuwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Pendekezo la kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa 2020 to 2025

    Kufuatia hali ya kutokuaminiana katika uendeshaji wa shuhuli za kisiasa ikiwemo chaguzi mbalimbali hapa nchini Tanzania, napendekeza badala ya kuitisha uchaguzi mkuu 2020 iundwe serikali ya umoja wa kitaifa itakayoshirikisha vyama vyote vyenye wabunge ili kufanya yafuatayo:- (i) Pesa yote ya...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Je, Pascal Mayalla alitudanganya alipotuaminisha hapa Jf kuwa CAG ana hadhi sawa na CJ ( Jaji Mkuu)?

    Mwanabodi Pascal Mayalla alileta uzi hapa akituelezea Uwezo wa CAG kikatiba ni sawa kabisa na Jaji Mkuu na kwamba agizo lake ni sawa na bill. Leo Rais Magufuli amesema CAG siyo muhimili na mihimili ni mitatu tu Serikali, Bunge na Mahakama Na kwamba CAG kwa kiswahili ni Mkaguzi na Mdhibiti mkuu...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa anahujumu miradi ya maji, nchi, na Serikali ya Awamu ya Tano

    Husika na maada tajwa hapo juu. Mim ni mdau mkubwa wa maji nmekuwa nikishirikiana na wadau mbali mbali wa maendeleo kuchimba visima vidogo na vikubwa maeneo yenye uhitaji mkubwa hasa kwenye kambi za wakimbizi. Pili niipongeze wizara ya maji kufanikisha uundwaji wa RUWASA hii itasaidia...
  15. Mathayo Fungo

    JamiiForums Tanzania Hatuwezi kuuza nchi yetu vipande vipande kwa wageni

    Imeandikwa na Felician Andrew Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro “Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni” Nimeamua...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Madai kwamba wachaga wamelitawala kanisa katoliki yapanguliwa kwa hoja. Hajaitwa mtu hadharani bali yapanguliwa kisomi

    Mwaka jana madai ya uchaga yaliibuliwa na gazeti la JAMVI LA HABARI likisema maaskofu wa kanisa katoliki huteuliwa kwa kufuata uchaga. Madai hayo haya hapa (bonyeza hapa) Mtakumbuka madai haya yaliingia hadi bungeni gazeti hili kujadiliwa. Jumatano iliyopita ina makala moja ya RAIA MWEMA...
  17. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Papa Francis alikataa Rais wa Philipines kubusu pete yake, achilia mbali unaowaona hawa anaowakatalia wiki hii

    Wiki hii imesambaa picha ya Papa Francis akikwepa kubusiwa pete yake, utaratibu unaofanywa kwa askofu yeyote, achilia mbali Papa. Kitendo hicho kimejadiliwa na kila aina ya mitandao, kwenye magroup, facebook, twitter na kokote unakoweza kutaja. Sasa mimi maoni yangu ni nini? Maoni yangu ni...
  18. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Mambosasa ajibu maswali ya Rais Magufuli kuhusu kutekwa Mo Dewji

    Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake. Mambosasa amesema baada ya yeye...
  19. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mfalme Belshaza na yanayofanyika CHADEMA

    MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya...
  20. Slowly

    JamiiForums Tanzania Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

    Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM. JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili...
Back
Top Bottom