nyumba

  1. House4Sale Nauza nyumba

    Hi
  2. Mafundi wa kupiga nyumba plaster (lipu)

    Nataka kupiga nyumba plaster (kwa nje tu) lakini sijui bei gani? Mchanga wa kutosha nyumba nzima hupo na simenti mifuko 12 (yaani 3 kila upande) hipo. Sasa mimi hela yangu ya kuungaunga. Mafundi mtanifanyia bei gani kwa mifuko hiyo 12 ya cement. Mimi Niko Dar
  3. House4Sale Nyumba inauzwa Milioni 26. Ipo Mbezi Mwisho, eneo la Msakuzi

    Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu. Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35...
  4. Wanawake Misungwi Mwanza wawajengea waume zao nyumba bora

    Wanawake Misungwi Mwanza wawajengea waume zao nyumba bora HIKI ni kitu ambacho hakijawahi kutokea hapa nchi baada ya wanawake kujiunga katika vikundi vidogo vya maendeleo na kuanza kuwajengea waume zao nyumba bora, ikilinganishwa na maeneo mengine ya Tanzania tulivyozoea kuona wanaume ndio...
  5. Madalali wa nyumba, viwanja kuwa na leseni

    SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada. Pamoja na...
  6. House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi 30mil

    Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35 kwa 20 • maji na umeme vipo ...
  7. Kenya: Mwenye nyumba amuua mpangaji kwa kumdai takriban Tsh 57,000

    Mwenye nyumba Ngángá Gitau, amemchoma visu mpangaji wake hadi kufa Warren Jirongo (26) baada ya kushindwa kulipa kodi ya mwezi Januari Wakazi wa eneo hilo wamemzonga mwenye nyumba huyo kwa hasira na kuchoma nyumba zake moto baada ya yeye kumuua kijana huyo Kijana huyo ni yatima ambaye alikuwa...
  8. Kuna mtu alipost ana nyumba mbili za kupangisha Chanika na moja Banana naomba namba yako

    Kuna mtu alipost tangazo kuwa ana nyumba mbili Chanika na moja banana ilikuwa kama week mbili nyuma. Nahitaji namba yako nimetafuta thread sijaipata.
  9. Wivu wa mapenzi: Mwanaume achoma nyumba na kuua familia ya watu 6

    Watu sita wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wamelala kuchomwa moto usiku wa manane kata ya Mjawa wilaya ya Kibiti mkoani Pwani. Kati ya watu hao sita wawili wakiwa ni mama na watoto wao walikuwa wamelala nyumba ilichomwa moto usiku wa manane na kuteketea. Akizungumzia tukio hilo kwa...
  10. F

    Hivi kama baba kaikimbia nyumba, nini hatma ya kijana mwenye ndoto?

    Halo JF siasa. Ktk Uzi huu sitamtaja mtu na hivyo wachangiaji pia wasitaje jina la mtu. Inafahamika wazi nini kinachojiri ktk familia kubwa pendwa nchini. Kuna wababa wawili wanadhamiwa kuikimbia familia hii. Baba moja machachari ameacha kijana wake ktk familia hii kubwa. Kijana si haba...
  11. Nyumba ya Mnyarwanda yachomwa moto kwa kujihusisha na biashara ya nyeti za binadamu

    Hii imetokea nchini Malawi ambapo inadaiwa Mnyarwanda mmoja aishie nchini humo na ambae ni tajiri aliejenge jumba kubwa mjini humo, alikuwa akiua watu hususani wanaume na kuwanyofoa sehemu zao za siri na kuzipeleke South Africa. Sasa amesanukiwa akakamatwa alipobanwa amesema kilakitu na...
  12. Shinyanga: Nyumba za Walimu zageuzwa danguro

    Majengo mawili ya nyumba za walimu ambayo ujenzi wake haujakamilika katika Shule ya Sekondari Mwasele, Kata ya Kambarage, Manispaa ya Shinyanga, yamedaiwa kugeuzwa danguro na kusababisha baadhi ya wanafunzi kupewa ujauzito na kuacha masomo. Diwani wa Kambarage, Hassani Mwendapole, alipaza...
  13. House4Sale Nyumba inauzwa Mbagala

    Ipo Mbagala Zakhem, nyuma ya gholofa la Amana Bank. Hati milki ipo. Bei ni milioni 55, maelewano yapo. Kwa mawasiliano piga: 0714167626 au 0688882973
  14. "Times FM" Nyumba ya Mapito

    Kituo cha redio cha Times kimeanzishwa muda mrefu sana kikiwa na gazeti lake la Business times sikuhizi sijui kama lipo, ni moja ya kituo ninachokikubali sana kina misheni zake na hakikurupuki, uendeshwaji wake naupenda sana, Muanzilishi alishatangulia mbele za haki, Mwenyezi Mungu amrehemu ila...
  15. Nikimsaidia mke wangu kuosha vyombo kwenye korido ya nyumba ya kupanga ni kosa?

    Hivi Kuna ubaya wowote kumsaidia mke wako kuosha vyombo koridoni? Nadhani hakuna shida ni ushamba wa wanaume wa afrika. Bold but nothing! Mimi naosha vyombo bila shida yoyote. Long live mama f
  16. Mtoto wako akiamua kumpa nyumba baba/mama yake ni sahihi?

    Huyu ni mtoto wa ujanani, kwakuwa bado wote au mmoja wenu alikuwa bado mwanafunzi wazazi wenu waliwasaidia ulezi mpaka mlipopata uwezo wa kumlea mtoto. Mengi yalipita na nyinyi wawili hamkuoana tena. Kabla ya kuingia kwenye ndoa mpya unaamua kumnunulia mtoto wako wa kwanza nyumba. Wakati huo...
  17. Z

    Biashara la kujenga nyumba ya bei nzuri

    Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
  18. Unapomkopesha mama mwenye nyumba pesa; ni ngumu kumdai

    Wakati ninaanza maisha nilipanga nyumba za kanisa la Kilutheri, nyumba zenyewe ziko kwenye prime location. Alikabidhiwa bwana mmoja na mkewe kuziangalia. Nyumba zilikuwa mbili kubwa zenye servant quarter. Jamaa alipangisha zote kama nyumba nne kipekee wakati ilitakiwa kila anaechukua nyumba...
  19. Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani Aandika barua ya Kujiuzulu. Rais Magufuli akiwa anahutubia wakati wa ufunguzi wa nyumba za Askari Magereza, amesema kwamba.. Nampongeza sana Meja Jenerali, Kingu ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuwajibika kwamba ametambua. Na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…