Madalali wa nyumba, viwanja kuwa na leseni

diana chumbikino

JF-Expert Member
May 29, 2018
428
368
1582615300220.png


SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada.

Pamoja na hayo, serikali imeagiza Ofisi ya Uhakiki wa Mali za Serikali, kukagua mali zote za serikali, zilizotaifishwa na zinazohitaji kufanyiwa minada, ili zinazohitaji kuuzwa ziuzwe na zinazohitaji kuingizwa mfumo ziingizwe, badala ya kuachwa na kuharibika. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James wakati akizindua Mfumo wa Kieletroniki wa Utoaji wa Leseni za Udalali na Uendeshaji Minada, Dar es Salaam jana.

Alisema kwa muda mrefu sekta ya udalali na uendeshaji minada, imekuwa ikidharauliwa na wakati mwingine kuonekana ya kihuni kutokana na kuwa na wavamizi na makanjanja wengi, wanaoishushia hadhi sekta hiyo. “Nasema wazi hapa leo, udalali ni ajira kama zilivyo ajira nyingine na inatambulika kisheria. Ingawa Sheria ya Udalali ya mwaka 1928 ni ya zamani na imepitwa na wakati, iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho ili iendane na wakati wa sasa,” alisema James.

Alisema haiwezekani kazi hiyo ya udalali, ikaachwa na kuishia kuonekana ya kitapeli kutokana na uwepo wa watu wengi wanaoiendesha wasiofuata sheria. “Sasa tutaangaza jicho kali zaidi hapa. Ujumbe wangu wa leo, tutakuwa wakali kuliko kawaida, yeyote tutakayembaini anafanya shughuli ya udalali na minada bila leseni, kitakachofuata si huruma, ni kushughulika na yeye tu,” alisisitiza.

Akielezea mfumo huo mpya wa utoaji leseni, alisema inawarahisishia madalali na waendesha minada, kuomba leseni kwa njia ya mtandao na kuzipata katika mikoa waliyopo, tofauti na zamani ambapo madalali na waendesha minada hao nchi nzima, walilazimika kwenda Dodoma kuomba vibali hivyo.

Alisema pia mfumo huo, umeunganishwa na Mfumo wa Serikali wa Malipo (GePG), ambapo muombaji atatakiwa kulipa ada ya leseni hizo, ambayo kwa mwaka ni Sh 150,000 kupitia mtandao na kisha kupatiwa taratibu za namna ya kupata leseni yake kupitia Ofisi ya Uhakiki Mali ya Mkoa husika.

Alisema baada ya kuzinduliwa mfumo huo kuanzia jana, maombi yote ya leseni za udalali na uendeshaji minada, yawasilishwe kupitia tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya www.mof.go.tz. Alitoa rai kwa taasisi za umma na sekta binafsi zinazohitaji huduma za udalali na minada, kutumia waendesha huduma hizo waliosajiliwa.

Soma

 
... kumbe hii nchi ina vyanzo vingi sana vya mapato; hatuhitaji hisani ya mabeberu kuendesha nchi yetu.
 
Sheria ya Udalali ya mwaka 1928 ni ya zamani na imepitwa na wakati, iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho ili iendane na wakati wa sasa,” alisema James.
Sasa makatazo kabla ya sheria mpya daah!!
Awamu hii kwa kukurupuka!
 
Kanuni za namna ya kutoza zimeshaandaliwa? Maana kwa upande wa nyumba za kupanga kuna wanaodai kodi ya mwezi mmoja kwa mpangaji, wengi wanadai mpangaji na mwenye nyumba.

Ni vizuri serikali ikawekea utaratibu kama ilivyo kwa uandishi wa mikataba ya mauzo ambayo hutozwa percent fulani ya ghrama ya mkataba
 
Kanuni za namna ya kutoza zimeshaandaliwa? Maana kwa upande wa nyumba za kupanga kuna wanaodai kodi ya mwezi mmoja kwa mpangaji, wengi wanadai mpangaji na mwenye nyumba.

Ni vizuri serikali ikawekea utaratibu kama ilivyo kwa uandishi wa mikataba ya mauzo ambayo hutozwa percent fulani ya ghrama ya mkataba
... juzi kati nilienda TRA wanifanyie assessment ya kibiashara changu mahali. Kati ya vitu walivyohitaji ni mkataba wa pango kati yangu na mwenye nyumba ambao niliwapa. To my surprise assessor alinitaka nithibitishe kama mwenye nyumba amelipa kodi ya jengo vinginevyo nisingepata tax clearance! Yaani wanamtumia mpangaji kama silaha ya kumpata mwenye nyumba just imagine! Watu kushindwa majukumu yao.
 
Kama kipato kinaingia, kodi ni lazima na pia kutambulika kama ni biashara
Hapo hakuna tatizo kabisa ila tatizo ni kuwa serikali haifuatilii sheria zote na kila anaekuja anaamua kufufua sheria iliyokuwepo miaka na haikuwahi kufanyiwa kazi, hapo wengi wanafikiri ni sheria mpya



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake.

Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada.

Pamoja na hayo, serikali imeagiza Ofisi ya Uhakiki wa Mali za Serikali, kukagua mali zote za serikali, zilizotaifishwa na zinazohitaji kufanyiwa minada, ili zinazohitaji kuuzwa ziuzwe na zinazohitaji kuingizwa mfumo ziingizwe, badala ya kuachwa na kuharibika.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James wakati akizindua Mfumo wa Kieletroniki wa Utoaji wa Leseni za Udalali na Uendeshaji Minada, Dar es Salaam jana.

Alisema kwa muda mrefu sekta ya udalali na uendeshaji minada, imekuwa ikidharauliwa na wakati mwingine kuonekana ya kihuni kutokana na kuwa na wavamizi na makanjanja wengi, wanaoishushia hadhi sekta hiyo.

“Nasema wazi hapa leo, udalali ni ajira kama zilivyo ajira nyingine na inatambulika kisheria. Ingawa Sheria ya Udalali ya mwaka 1928 ni ya zamani na imepitwa na wakati, iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho ili iendane na wakati wa sasa,” alisema James.

Alisema haiwezekani kazi hiyo ya udalali, ikaachwa na kuishia kuonekana ya kitapeli kutokana na uwepo wa watu wengi wanaoiendesha wasiofuata sheria.

“Sasa tutaangaza jicho kali zaidi hapa. Ujumbe wangu wa leo, tutakuwa wakali kuliko kawaida, yeyote tutakayembaini anafanya shughuli ya udalali na minada bila leseni, kitakachofuata si huruma, ni kushughulika na yeye tu,” alisisitiza.

Akielezea mfumo huo mpya wa utoaji leseni, alisema inawarahisishia madalali na waendesha minada, kuomba leseni kwa njia ya mtandao na kuzipata katika mikoa waliyopo, tofauti na zamani ambapo madalali na waendesha minada hao nchi nzima, walilazimika kwenda Dodoma kuomba vibali hivyo.

Alisema pia mfumo huo, umeunganishwa na Mfumo wa Serikali wa Malipo (GePG), ambapo muombaji atatakiwa kulipa ada ya leseni hizo, ambayo kwa mwaka ni Sh 150,000 kupitia mtandao na kisha kupatiwa taratibu za namna ya kupata leseni yake kupitia Ofisi ya Uhakiki Mali ya Mkoa husika.

Alisema baada ya kuzinduliwa mfumo huo kuanzia jana, maombi yote ya leseni za udalali na uendeshaji minada, yawasilishwe kupitia tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya www.mof.go.tz. Alitoa rai kwa taasisi za umma na sekta binafsi zinazohitaji huduma za udalali na minada, kutumia waendesha huduma hizo waliosajiliwa.

Chanzo: HabariLeo
 
... juzi kati nilienda TRA wanifanyie assessment ya kibiashara changu mahali. Kati ya vitu walivyohitaji ni mkataba wa pango kati yangu na mwenye nyumba ambao niliwapa. To my surprise assessor alinitaka nithibitishe kama mwenye nyumba amelipa kodi ya pango vinginevyo nisingepata tax clearance! Yaani wanamtumia mpangaji kama silaha ya kumpata mwenye nyumba just imagine! Watu kushindwa majukumu yao.
Hapana. Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi wewe mpangaji katika malipo mliyokubaliana na mwenye nyumba wako unatakiwa umkate 10% na kuwasilisha TRA. Hili kwa wenye makampuni na biashara kubwa wanalifahamu ila kwa wafanyabiashara wadogo (sole proprietor) hili ni jambo geni sana na hata wenye nyumba wengi hawatambui wala kukubaliana na sheria hii ya kutaka kodi yao na kupeleka TRA.
 
Hapana. Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi wewe mpangaji katika malipo mliyokubaliana na mwenye nyumba wako unatakiwa umkate 10% na kuwasilisha TRA. Hili kwa wenye makampuni ni biashara kubwa wanalifahamu ila kwa wafanyabiashara wadogo (sole proprietor) hili ni jambo geni sana na hata wenye nyumba wengu hawatambui wala kukubaliana na sheria hii ya kutaka kodi yao na kupeleka TRA.
... elimu kwa umma inakosekana hapa! Kuna mtu hatimizi wajibu wake ipasavyo! By the way, kwanini hao TRA wasiweke utaratibu wa wenye nyumba kulipa hizo kodi wenyewe? Watasema "ndivyo sheria inavyosema"; sheria ya kijinga.
 
View attachment 1368692

SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada.

Pamoja na hayo, serikali imeagiza Ofisi ya Uhakiki wa Mali za Serikali, kukagua mali zote za serikali, zilizotaifishwa na zinazohitaji kufanyiwa minada, ili zinazohitaji kuuzwa ziuzwe na zinazohitaji kuingizwa mfumo ziingizwe, badala ya kuachwa na kuharibika. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James wakati akizindua Mfumo wa Kieletroniki wa Utoaji wa Leseni za Udalali na Uendeshaji Minada, Dar es Salaam jana.

Alisema kwa muda mrefu sekta ya udalali na uendeshaji minada, imekuwa ikidharauliwa na wakati mwingine kuonekana ya kihuni kutokana na kuwa na wavamizi na makanjanja wengi, wanaoishushia hadhi sekta hiyo. “Nasema wazi hapa leo, udalali ni ajira kama zilivyo ajira nyingine na inatambulika kisheria. Ingawa Sheria ya Udalali ya mwaka 1928 ni ya zamani na imepitwa na wakati, iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho ili iendane na wakati wa sasa,” alisema James.

Alisema haiwezekani kazi hiyo ya udalali, ikaachwa na kuishia kuonekana ya kitapeli kutokana na uwepo wa watu wengi wanaoiendesha wasiofuata sheria. “Sasa tutaangaza jicho kali zaidi hapa. Ujumbe wangu wa leo, tutakuwa wakali kuliko kawaida, yeyote tutakayembaini anafanya shughuli ya udalali na minada bila leseni, kitakachofuata si huruma, ni kushughulika na yeye tu,” alisisitiza.

Akielezea mfumo huo mpya wa utoaji leseni, alisema inawarahisishia madalali na waendesha minada, kuomba leseni kwa njia ya mtandao na kuzipata katika mikoa waliyopo, tofauti na zamani ambapo madalali na waendesha minada hao nchi nzima, walilazimika kwenda Dodoma kuomba vibali hivyo.

Alisema pia mfumo huo, umeunganishwa na Mfumo wa Serikali wa Malipo (GePG), ambapo muombaji atatakiwa kulipa ada ya leseni hizo, ambayo kwa mwaka ni Sh 150,000 kupitia mtandao na kisha kupatiwa taratibu za namna ya kupata leseni yake kupitia Ofisi ya Uhakiki Mali ya Mkoa husika.

Alisema baada ya kuzinduliwa mfumo huo kuanzia jana, maombi yote ya leseni za udalali na uendeshaji minada, yawasilishwe kupitia tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya www.mof.go.tz. Alitoa rai kwa taasisi za umma na sekta binafsi zinazohitaji huduma za udalali na minada, kutumia waendesha huduma hizo waliosajiliwa.

Soma

Hatimaye
 
Ni vizuri madalali wakafaamika, na akiwa na leseni inakuwa nzuri zaidi, akikutapeli unaweza kumreport na utaratibu ukafuatwa kupata haki.
 
View attachment 1368692

SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada.

Pamoja na hayo, serikali imeagiza Ofisi ya Uhakiki wa Mali za Serikali, kukagua mali zote za serikali, zilizotaifishwa na zinazohitaji kufanyiwa minada, ili zinazohitaji kuuzwa ziuzwe na zinazohitaji kuingizwa mfumo ziingizwe, badala ya kuachwa na kuharibika. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James wakati akizindua Mfumo wa Kieletroniki wa Utoaji wa Leseni za Udalali na Uendeshaji Minada, Dar es Salaam jana.

Alisema kwa muda mrefu sekta ya udalali na uendeshaji minada, imekuwa ikidharauliwa na wakati mwingine kuonekana ya kihuni kutokana na kuwa na wavamizi na makanjanja wengi, wanaoishushia hadhi sekta hiyo. “Nasema wazi hapa leo, udalali ni ajira kama zilivyo ajira nyingine na inatambulika kisheria. Ingawa Sheria ya Udalali ya mwaka 1928 ni ya zamani na imepitwa na wakati, iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho ili iendane na wakati wa sasa,” alisema James.

Alisema haiwezekani kazi hiyo ya udalali, ikaachwa na kuishia kuonekana ya kitapeli kutokana na uwepo wa watu wengi wanaoiendesha wasiofuata sheria. “Sasa tutaangaza jicho kali zaidi hapa. Ujumbe wangu wa leo, tutakuwa wakali kuliko kawaida, yeyote tutakayembaini anafanya shughuli ya udalali na minada bila leseni, kitakachofuata si huruma, ni kushughulika na yeye tu,” alisisitiza.

Akielezea mfumo huo mpya wa utoaji leseni, alisema inawarahisishia madalali na waendesha minada, kuomba leseni kwa njia ya mtandao na kuzipata katika mikoa waliyopo, tofauti na zamani ambapo madalali na waendesha minada hao nchi nzima, walilazimika kwenda Dodoma kuomba vibali hivyo.

Alisema pia mfumo huo, umeunganishwa na Mfumo wa Serikali wa Malipo (GePG), ambapo muombaji atatakiwa kulipa ada ya leseni hizo, ambayo kwa mwaka ni Sh 150,000 kupitia mtandao na kisha kupatiwa taratibu za namna ya kupata leseni yake kupitia Ofisi ya Uhakiki Mali ya Mkoa husika.

Alisema baada ya kuzinduliwa mfumo huo kuanzia jana, maombi yote ya leseni za udalali na uendeshaji minada, yawasilishwe kupitia tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya www.mof.go.tz. Alitoa rai kwa taasisi za umma na sekta binafsi zinazohitaji huduma za udalali na minada, kutumia waendesha huduma hizo waliosajiliwa.

Soma

CCM kwa Story hawajambo, yani kama Makonda alivyosema Dar itakuwa kama Manhattan, yeye na babake ndio wamejaza machinga barabara zote za Dar na hakuna njia ya kupita.
Jiji na nchi imekuwa kama jalala ama mitaa ya Madongo poromoka.
 
Back
Top Bottom