Miss Mbeya
Member
- Mar 2, 2020
- 18
- 15
Hi
Picha ya hicho kiwanja iko wapi tangaza biashara kikamilifu
[/QUOTE
Kiwanja kipo mbele ya hiyo nyumba anapooneka mtu anafyeka. Sijakipiga picha kiwanja vizr
Hapana . N njia ya kuelekea mlima nyoka
punguza bei jamaa kumbuka hali ngumu kipindi hikiHabar. Nauza nyumba yangu ipo Mbeya mjini maeneo ya uyole ya nsalaga. Inakiwanja kikubwa mbele cha kuweza kujenga nyumba nyingine kubwa. Bei 14M maelewano yapo kama ukipapenda. Whatsapp 0716142540
Bei ni maelewano kama uko tayr tunafanya biasharapunguza bei jamaa kumbuka hali ngumu kipindi hiki
Nicheki kwa hiyo namba mda wowote ukapaone.punguza bei jamaa kumbuka hali ngumu kipindi hiki
Nicheki kwa hiyo namba mda wowote ukapaone.