Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama msanii huria, fedha yote atakayoipata katika kazi zake za sanaa itakuwa ni yake.
Alivyokuwa chini ya...
Waziri wa Ardhi Mh Lukuvi amemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kuwashughulikia watendaji wa NHC na NIC waliouza kifisadi nyumba mbili za Serikali kinyume cha utaratibu.
Naye DCI amemhakikishia Waziri Lukuvi kuwa atalishughulikia suala hilo kwa haraka na kuhakikisha nyumba hizo...
Habari wakuu humu ndani.
Mimi ni mfanyakazi wa serikali nipo Dodoma kikazi. Nina nyumba yangu mkoani Iringa.
Baba alishawahi kuchukulia mkopo katika bank ya NMB. Leo wakati natoka kazini nimepigiwa simu na mpangaji wangu kuwa nmb wamefika nyumbani na kuchora tangazo "Nyumba inauzwa"...
Leo naomba tuambiane visa mbalimbali ambazo tumekutana nayo kwenye nyumba za kulala wageni (guest houses) ambazo kimsingi umeshindwa kuelewa kilichotokea kwa macho ya kawaida.
Binafsi nitaelezea visa viwili ambavyo sijawahi kuelewa kilichonitokea.
Kisa cha kwanza kilinikuta Jijini Arusha mwaka...
Wakuu habari,
Nilikua nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Africana, makongo au kigamboni vigezo:) iwe self contained yani chumba kimoja na choo ndani kwa ndani ii) pasiwe na msongamano wa nyumba nyingi
Gharama za malipo kwa mwezi tutaelewana baada ya kuiona nyumba
Pendekezo: ikiwa nyumba...
Utangulizi
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1).
Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu...
Wakuu kwema nyumba ya kukodishwa inahitajika maeneo ya boko isizidi mbele ya boko chama. Bila shaka humu tuna ma landlord.
Iwe ndani ya fence.
Vyumba viwe viwili kimoja master.
Umeme na maji.
Isiwe mbali sana na barabara.
Bajeti ni 100,000 - 150,000
Sasa hivi wanasiasa wanashindana kujenga nyumba za umma kwa hela kiduchu ili kumridhisha aliyewateua.
Tena wanafanya hivyo mbele ya kamera ili waonekane kama huyu RC.
Tunaomba wakitoa maagizo ya kupunguza gharama za ujenzi, waweke maagizo hayo kwa maandishi yenye sahihi ili kuonyesha...
Huku kwetu Kwamtogole nyumba za kupanga ni kiinua mgongo endelevu. Haya yalianza enzi za mkoloni, makuli wengi wa bandarini ndiyo walikuwa Baba wenye nyumba.
Siku hizi wengi hupenda kuchukua chumba na sebule. Katika chumba na sebule Hii ni nyumba inayostir familia ya takriban watu...
Habari wana jamvi,
Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji.
Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
Habari wakuu,
Ofisi ambayo CHADEMA Makao Makuu wamezawaidiwa
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, amewagawia nyumba ambayo ni Ofisi ya CCM Wilaya ya Kinondoni. Amesema ameamua kuwagawia CHADEMA kwa sababu Makao Makuu ya CHADEMA Wamepanga na hawalipi Kodi hivyo, Mwenye nyumba kila siku anashinda...
6 suspects charged in that case
An assistant chief and five members of Nyumba Kumi were on Tuesday charged with the killing of a bod boda rider in Meru.
The suspects allegedly beat the rider to death to punish him for hosting a party where guests took a local brew in Mitunguu, Meru County...
Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd)
Ukubwa: 347 sqm
Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu
Kina Leseni ya Makazi
Contact: 0655888268
Estate Agent alipofika kuiangalia aliamua kupiga picha hizi. Kwa miaka 72 ameweza kuitunza nyumba katika hali hii. Mume wake ameshafariki na watoto wote wana maisha yao.
Wakuu salam kwenu.
Nataka kuhamia kwenye kiwanja changu. Nia yangu ni kujenga vyumba viwili katika kona ya kiwanja changu kusudi tu nihamie ila hiyo nyumba ya ndoto yangu nijenge katika sehem iliyo baki.
Kwa ujumla nataka mlango wa kuingilia uwe mmoja (sebleni)ambapo chumba cha masterbed...
Yaani hadi najuta sijui ni kwanini nimekuwa Mpayapaya/ Masikini/ Mbayuwayu hivi kiasi kwamba miaka yangu nenda rudi nashindwa kupata Kipato cha hata Kununua tu ‘ Simenti ‘ mfuko Mmoja ili name nianze Ujenzi wa Kujenga ‘ Kakibanda ‘ Kangu niondokane na ‘ manyanyaso ‘ ya ‘ Kimakusudi ‘ kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.