nyumba

  1. P

    Fundi nyumba anahitajika

    fundi nyumba anahitajika kwa kazi.kazi iko maeneo ya Temeke mpigie boss 0717371685
  2. anti-negative energy

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Wakuu habari, Nilikua nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Africana, makongo au kigamboni vigezo:) iwe self contained yani chumba kimoja na choo ndani kwa ndani ii) pasiwe na msongamano wa nyumba nyingi Gharama za malipo kwa mwezi tutaelewana baada ya kuiona nyumba Pendekezo: ikiwa nyumba...
  3. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

    Utangulizi Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu...
  4. Muhamala

    Nyumba ya kukodishwa Boko inahitajika

    Wakuu kwema nyumba ya kukodishwa inahitajika maeneo ya boko isizidi mbele ya boko chama. Bila shaka humu tuna ma landlord. Iwe ndani ya fence. Vyumba viwe viwili kimoja master. Umeme na maji. Isiwe mbali sana na barabara. Bajeti ni 100,000 - 150,000
  5. Sky Eclat

    Wafahamu watu mashuhuri na nyumba wanazoishi

    BILL GATES – EST. £121.5 MILLION, WASHINGTON PIERCE BROSNAN – EST. £15.4 MILLION, MALIBU ELTON JOHN – EST. £27.2 MILLION, BEVERLY HILLS
  6. Jidu La Mabambasi

    RC mwanasiasa akisimamia nyumba za umma: tusubiri maafa!

    Sasa hivi wanasiasa wanashindana kujenga nyumba za umma kwa hela kiduchu ili kumridhisha aliyewateua. Tena wanafanya hivyo mbele ya kamera ili waonekane kama huyu RC. Tunaomba wakitoa maagizo ya kupunguza gharama za ujenzi, waweke maagizo hayo kwa maandishi yenye sahihi ili kuonyesha...
  7. Sky Eclat

    Nyumba za kupanga ni vijiji ndani ya miji

    Huku kwetu Kwamtogole nyumba za kupanga ni kiinua mgongo endelevu. Haya yalianza enzi za mkoloni, makuli wengi wa bandarini ndiyo walikuwa Baba wenye nyumba. Siku hizi wengi hupenda kuchukua chumba na sebule. Katika chumba na sebule Hii ni nyumba inayostir familia ya takriban watu...
  8. Last Seen

    Mashabiki wa Arsenal tufarijiane hapa

    Habari wana jamvi, Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji. Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
  9. pantheraleo

    Makonda awapa Ofisi CHADEMA. Awataka walipie pango la ofisi ya Makao Makuu kwani mwenye nyumba analalamika

    Habari wakuu, Ofisi ambayo CHADEMA Makao Makuu wamezawaidiwa Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, amewagawia nyumba ambayo ni Ofisi ya CCM Wilaya ya Kinondoni. Amesema ameamua kuwagawia CHADEMA kwa sababu Makao Makuu ya CHADEMA Wamepanga na hawalipi Kodi hivyo, Mwenye nyumba kila siku anashinda...
  10. Suley2019

    Chief, Nyumba Kumi elders charged with murder of rider

    6 suspects charged in that case An assistant chief and five members of Nyumba Kumi were on Tuesday charged with the killing of a bod boda rider in Meru. The suspects allegedly beat the rider to death to punish him for hosting a party where guests took a local brew in Mitunguu, Meru County...
  11. nyamchele

    House4Sale Kiwanja na nyumba vinauzwa Magomeni

    Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd) Ukubwa: 347 sqm Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu Kina Leseni ya Makazi Contact: 0655888268
  12. Sky Eclat

    Hii nyumba ilijengwa miaka 72 iliyopita, mmiliki wake sasa ana miaka 96 anaiuza kwakua ameshindwa kuitunza

    Estate Agent alipofika kuiangalia aliamua kupiga picha hizi. Kwa miaka 72 ameweza kuitunza nyumba katika hali hii. Mume wake ameshafariki na watoto wote wana maisha yao.
  13. N

    Sera ya Nyumba 300 Rwanda

    Wakati Tanzania tukivutana Rwanda wameamua kitekeleza Kwa Asilimia 💯 maisha ni miji na Siasa ni miji
  14. Kitondo

    Hii nyumba itanigharimu kiasi gani cha pesa?

    Wakuu salam kwenu. Nataka kuhamia kwenye kiwanja changu. Nia yangu ni kujenga vyumba viwili katika kona ya kiwanja changu kusudi tu nihamie ila hiyo nyumba ya ndoto yangu nijenge katika sehem iliyo baki. Kwa ujumla nataka mlango wa kuingilia uwe mmoja (sebleni)ambapo chumba cha masterbed...
  15. GENTAMYCINE

    Hivi Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Lukuvi ina taarifa jinsi ‘Wapangaji‘ wa Nyumba ‘tunavyonyanyaswa‘ na wenye Nyumba?

    Yaani hadi najuta sijui ni kwanini nimekuwa Mpayapaya/ Masikini/ Mbayuwayu hivi kiasi kwamba miaka yangu nenda rudi nashindwa kupata Kipato cha hata Kununua tu ‘ Simenti ‘ mfuko Mmoja ili name nianze Ujenzi wa Kujenga ‘ Kakibanda ‘ Kangu niondokane na ‘ manyanyaso ‘ ya ‘ Kimakusudi ‘ kabisa...
  16. Mshuza2

    KERO: Umeme wa kununua kwa zamu na nyumba za kupanga ni janga

    Wakuu, nimepita sehemu hii jioni kuna ugomvi mkubwa kisa ni zamu za umeme, kiukweli hizi luku ni nzuri kama wapangaji wako wachache na wanaelewana vinginevyo ni majanga. Hivi haiwezekani kila mpangaji akawa na mita yake kama vile switch? Mabachela inakula kwao zaidi wanaotoka asubuhi kurudi...
  17. K

    Sasa kushusha bei nyumba za NHC hasara ni ya nani?

    Jana nilisikia nyumba za National Housing kushushwa bei kwa mfano nyumba iliyokuwa imepangwa kuuzwa Tsh. 60 Million itauzwa chini ya Tsh 40 Million. Moyoni nkajiuliza hilo pengo hapo katikati ni hasara kwa nani?
  18. J

    Kutekeleza ilani: Nyumba 1500 za NSSF zilizokosa wanunuzi kupewa Vyuo vikuu

    Nyumba zaidi ya 1509 zilizojengwa na NSSF kwa ajili ya kuwauzia wananchi lakini zimekosa wanunuzi na kuwa makazi ya POPO katika maeneo ya Tuangoma na kwingineko sasa kugawiwa kwa vyuo vikuu vya umma. Source Habari Leo. Maendeleo hayana vyama!
  19. beth

    Waziri Jenista Mhagama atangaza punguzo la bei ununuzi wa nyumba za PSSSF za Buyuni - Chanika jijini Dar es Salaam

    Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb), ametangaza punguzo la bei kwa karibu asilimia 50 kwa atakayehitaji kununua nyumba zilizo katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazomilikiwa na Mfuko...
  20. Sky Eclat

    Kujenga nyumba kubwa hasara zake ni kubwa kuliko faida

    Una familia ya watoto wanne, umefanikiwa kimaisha watoto wanasoma na unajenga nyumba ya ghorofa vyumba 12 vya kulala. Kwanza gharama za ujenzi ni kubwa, baada ya ujenzi kutunza nyumba ya vyumba 12 ni gharama kubwa sana. Hata ukiwa na mawazo ya familia kukutana watoto wanne wenye mafanikio si...
Back
Top Bottom