Biashara la kujenga nyumba ya bei nzuri

zakarya

Member
Nov 1, 2015
36
5
Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
 
Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
Hivi unaandikaje? Umetoka Koromije ndanindani? Karekebishe uandishi alafu uje tukusaidie
 
Wewe una skills gani?
Unatafuta skills gani?
Unataka technical personel, au financially sound partners?
Bei sawa ndio bei gani?

Hebu elezea vizuri, be precise and specific
Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom