Hivi Kuna ubaya wowote kumsaidia mke wako kuosha vyombo koridoni?
Nadhani hakuna shida ni ushamba wa wanaume wa afrika.
Bold but nothing!
Mimi naosha vyombo bila shida yoyote.
Long live mama f
Sio kosa kabisa.Hivi Kuna ubaya wowote kumsaidia mke wako kuosha vyombo koridoni?
Nadhani hakuna shida ni ushamba wa wanaume wa afrika.
Bold but nothing!
Mimi naosha vyombo bila shida yoyote.
Long live mama f
Ukiwa mwanaume wa Dar sio shida, sisi wa mikoani huwa tunawasaidia kupasua kuni😀😀Hivi Kuna ubaya wowote kumsaidia mke wako kuosha vyombo koridoni?
Nadhani hakuna shida ni ushamba wa wanaume wa afrika.
Bold but nothing!
Mimi naosha vyombo bila shida yoyote.
Long live mama f