Ni nini maana Halisi ya "Kuchapa Mikwaju"?

Ni nini maana Halisi ya "Kuchapa Mikwaju"?

Kalamu

Platinum Member
Joined
Nov 26, 2006
Posts
22,092
Reaction score
31,661
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.

Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!

Watoto watovu ni akina nani, akina Mdude Nyagali na wengi wengine ambao hawafahamiki walipo sasa hivi? Tunaweza kusema hawa walichapwa mikwaju?

Na hawa waliouliwa Oktoba 29, ni watovu wa adabu ambao walichapwa mikwaju?

Kuna mfano wowote wa vijana watovu kuchapwa mikwaju, kwa maana hiyo hiyo ya kuchapa na siyo kutekwa, kupotezwa au kuuliwa?

Kwa maana hiyo, huyu mtawala mhalifu anawaeleza waTanzania kwamba mikwaju yake anaiendeleza vilevile kama ilivyokuwa tokea mwanzo?
 
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.

Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!

Watoto watovu ni akina nani, akina Mdude Nyagali na wengi wengine ambao hawafahamiki walipo sasa hivi? Tunaweza kusema hawa walichapwa mikwaju?

Na hawa waliouliwa Oktoba 29, ni watovu wa adabu ambao walichapwa mikwaju?

Kwa maana hiyo, huyu mtawala mhalifu anawaeleza waTanzania kwamba mikwaju yake anaiendeleza vilevile kama ilivyokuwa tokea mwanzo?
Uhalifu wote ambao Serikali yake imeufanya kwa raia (wanaodai haki au wanaomkosoa vikali yeye) uko ndani ya maana ya hiyo phrase ya “kuchapa mikwaju”.

Fazafaka hajutii hata kidogo. If anything, she is doubling down!
 
Ukimkumbuka yule Samia wa wiki za mwanzo kabisa baada ya kifo cha Magufuli; kamwe huwezi kuamini kuwa ndiye huyu aliyepo sasa.
Inashangaza sana.
Sahihi kabisa. Huyu wa sasa ameamua kuyafunua makucha yake aliyoyaficha kwa miaka mingi. Siku zote tabia halisi ya mwanadamu huonekana pale anaposhika pesa nyingi au madaraka makubwa.
 
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.

Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!

Watoto watovu ni akina nani, akina Mdude Nyagali na wengi wengine ambao hawafahamiki walipo sasa hivi? Tunaweza kusema hawa walichapwa mikwaju?

Na hawa waliouliwa Oktoba 29, ni watovu wa adabu ambao walichapwa mikwaju?

Kuna mfano wowote wa vijana watovu kuchapwa mikwaju, kwa maana hiyo hiyo ya kuchapa na siyo kutekwa, kupotezwa au kuuliwa?

Kwa maana hiyo, huyu mtawala mhalifu anawaeleza waTanzania kwamba mikwaju yake anaiendeleza vilevile kama ilivyokuwa tokea mwanzo?
Maana yake ni hii:

IMG_9671.jpeg
IMG_9672.jpeg
IMG_9721.jpeg
 
Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally
Maana yake utekaji, ufiraji, mauaji..

 
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.

Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!

Watoto watovu ni akina nani, akina Mdude Nyagali na wengi wengine ambao hawafahamiki walipo sasa hivi? Tunaweza kusema hawa walichapwa mikwaju?

Na hawa waliouliwa Oktoba 29, ni watovu wa adabu ambao walichapwa mikwaju?

Kuna mfano wowote wa vijana watovu kuchapwa mikwaju, kwa maana hiyo hiyo ya kuchapa na siyo kutekwa, kupotezwa au kuuliwa?

Kwa maana hiyo, huyu mtawala mhalifu anawaeleza waTanzania kwamba mikwaju yake anaiendeleza vilevile kama ilivyokuwa tokea mwanzo?

Nafikiri maana nyingine ni kile walichofanyiwa Boniface na Agatha.
 
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.

Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!

Watoto watovu ni akina nani, akina Mdude Nyagali na wengi wengine ambao hawafahamiki walipo sasa hivi? Tunaweza kusema hawa walichapwa mikwaju?

Na hawa waliouliwa Oktoba 29, ni watovu wa adabu ambao walichapwa mikwaju?

Kuna mfano wowote wa vijana watovu kuchapwa mikwaju, kwa maana hiyo hiyo ya kuchapa na siyo kutekwa, kupotezwa au kuuliwa?

Kwa maana hiyo, huyu mtawala mhalifu anawaeleza waTanzania kwamba mikwaju yake anaiendeleza vilevile kama ilivyokuwa tokea mwanzo?
yeyote atakae kosa utii na asie na adabu kwa katiba na sheria za nchi atachapwa viboko ipasavyo bila huruma wala aibu,

haiwezekani kufuga vijana watovu wa nidhamu nchini
 
yeyote atakae kosa utii na asie na adabu kwa katiba na sheria za nchi atachapwa viboko ipasavyo bila huruma wala aibu,

haiwezekani kufuga vijana watovu wa nidhamu nchini
Kumbe Mnafuga Watu Siku Hizi..Kauli Za Kifedhuli Mnoo..Jitahidi Sana Usiwe Na Kauli Za Kipuuzi Namna Hii Tena Getlomeni..Na Kama Mnawachukulia Raia Kama Wafugwaji Bila Shaka Ndio Maana Mnauwaua Tu.
 
Kumbe Mnafuga Watu Siku Hizi..Kauli Za Kifedhuli Mnoo..Jitahidi Sana Usiwe Na Kauli Za Kipuuzi Namna Hii Tena Getlomeni..Na Kama Mnawachukulia Raia Kama Wafugwaji Bila Shaka Ndio Maana Mnauwaua Tu.
Gentleman,
zingatia maelezo muhimu ya kweli na yamsingi kwenye koment yangu, itakusaidia sana,

ukilete kiburi na kushupaza shingo kwa ubishi useless usilaumu sikukushauri.
be disciplined plz
 
Back
Top Bottom