UKOMAVU NI NINI?

UKOMAVU NI NINI?

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
1,077
Reaction score
1,444
UKOMAVU NI MTAZAMO WA AKILI, SI UMRI.

HIZI HAPA DALILI ZA MTU ALIYEKOMAA!

• Haogopi kuwa peke yake.

• Anatambua kuwa pesa siyo mbaya, ubaya ni kukosa pesa.

• Anajua kuwa Nafsi inaweza kuwa adui yako mkubwa au msaidizi wako mkubwa.

• Anagundua maisha huwa mazuri zaidi pale watu wasipojua kila kitu kuhusu wewe.

• Hajali tena watu wengine wanafikiria nini kuhusu yeye.

• Hapotezi muda kusumbuka na vitu ambavyo haviwezi kudhibitiwa na yeye.
• Anaelewa kuwa malipo yake hutegemea thamani anayoitoa kwa watu.

• Anajua kuwa mwisho wa siku familia yake na marafiki wachache wa kweli ndio watabaki karibu naye.

• Pia anatambua kuwa mwisho wa yote, hata familia na marafiki wataondoka…

Abuuabdillah ✍️
0744 883 353
 
Ukomavu✊
20260531_073427.jpg
 
Back
Top Bottom