WAZEE WETU WANATESEKA NGORONGORO. TUNAKUFA
“Hebu muangalieni tu angalieni bibi kama huyo?, Hebu muangalieni huyo bibi huyo hapo, angalia hiyo, unafikiri huyo bibi ni Afya yake hiyo?
“Hata ukiangalia tu katika hali ya kawaida, Naombeni ndugu zangu hebu angalieni hiyo hali. INATISHA. TUNAUMIA”...