peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Turukie kwenye mada.
Nimeisoma ilani ya CCM. 2020-2025 hakuna mahali nilipoona CCM imelekeleza kuhamisha wamasai kutoka mkoa wa Arusha ( Ngorongoro) kuwapeleka mkoa wa Tanga.
2. Hakuna mahali CCM imeelekeza akae kimya asiongee na wananchi kutolea maelekezo au ufafanuzi wa jambo ambalo limeleta taharuki mfano mkataba wa Bandari.
3. Kuisimamia serikali amefeli na hata chama kiuongozi kipo kipo tu, na hata baada ya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama 2022 tulitarajia mabsdiliko ndani ya chama kiungozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa ila hali ni ile ile na kuingia uchaguzi wa serukali za mitaa na uchsguzi mkuu 2025 CCM italemewa sana.
4. Kitendo cha uongozi wake kupingwa na Kanisa katoliki ni pigo kubwa CCM inakoelekea.
5. Kumteua Naibu waziri mkuu kutokea ukanda ule ni dhahiri kuwa ukanda ule mama hauziki.
Nimeisoma ilani ya CCM. 2020-2025 hakuna mahali nilipoona CCM imelekeleza kuhamisha wamasai kutoka mkoa wa Arusha ( Ngorongoro) kuwapeleka mkoa wa Tanga.
2. Hakuna mahali CCM imeelekeza akae kimya asiongee na wananchi kutolea maelekezo au ufafanuzi wa jambo ambalo limeleta taharuki mfano mkataba wa Bandari.
3. Kuisimamia serikali amefeli na hata chama kiuongozi kipo kipo tu, na hata baada ya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama 2022 tulitarajia mabsdiliko ndani ya chama kiungozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa ila hali ni ile ile na kuingia uchaguzi wa serukali za mitaa na uchsguzi mkuu 2025 CCM italemewa sana.
4. Kitendo cha uongozi wake kupingwa na Kanisa katoliki ni pigo kubwa CCM inakoelekea.
5. Kumteua Naibu waziri mkuu kutokea ukanda ule ni dhahiri kuwa ukanda ule mama hauziki.