Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,111
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

Namshauri rais Samia. mama acha, acha kabisa, hili ni kaa la moto. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.
Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Na tena mbunge naye wakamfanyia yao..!!
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.

Unazungumza habari za kucontroll population za minorities. Hizo ni sera za Adolph Hitler dhidi ya wayahudi. Ni crime against humanity.

Wamasai wameishi na wanyama kwa maelfu ya miaka, huwezi kujifanya unajua conservation kuwazidi.
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Waarabu ndio wanyamapori? Yeye anazungumzia waarabu wewe kichwa maji unaleta habari za wanyamapori
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Ungenyamaza ingekusaidia kuficha ujinga !
 
Waarabu ndio wanyamapori? Yeye anazungumzia waarabu wewe kichwa maji unaleta habari za wanyamapori
Huo ndio ujinga mnaojazana.

Maasai Ngorongoro kesha heshimiwa kwa miaka.

Waliopo inatosha, makazi yaliyomo yawe ya urithi.

Masaai hataki kuelewa anataka aongeze himaya ndani ya hifadhi.

Serikali na wadau wakimataifa wametumia hela nyingi sana kwenye hilo somo ‘hifadhi ya taifa aiwezi kuhudumia binadamu na wanyama tena’.

Hakina swala pia wana mitaa yao waliyozoea kwenda kuzalua, kunywa maji, kunenepea kwa karne; Masaai aelewi anataka kuingilia maeneo yao.

Sasa swala hana akili za kufikiria akiingiliwa eneo lake plan b ni ipi, ila Masaai ni-reasonableness wa kumwambia mnatosha hayo maeneo tuwaachie hakina Simba tutakupa eneo lingine to indulge with your lifestyle; hataki. Wee vipi.

Masaai population ndani ya mbuga za hifadhi needs control huo ndio uhalisia; sio kucheka na hawa watu.
 
Huo ndio ujinga mnaojazana.

Maasai Ngorongoro kesha heshimiwa kwa miaka.

Waliopo inatosha, makazi yaliyomo yawe ya urithi.

Masaai hataki kuelewa anataka aongeze himaya ndani ya hifadhi.

Serikali na wadau wakimataifa wametumia hela nyingi sana kwenye hilo somo ‘hifadhi ya taifa aiwezi kuhudumia binadamu na wanyama tena’.

Hakina swala pia wana mitaa yao waliyozoea kwenda kuzalua, kunywa maji, kunenepea kwa karne; Masaai aelewi anataka kuingilia maeneo yao.

Sasa swala hana akili za kufikiria akiingiliwa eneo lake plan b ni ipi, ila Masaai ni-reasonableness wa kumwambia mnatosha hayo maeneo tuwaachie hakina Simba tutakupa eneo lingine to indulge with your lifestyle; hataki. Wee vipi.

Masaai population ndani ya mbuga za hifadhi needs control huo ndio uhalisia; sio kucheka na hawa watu.
Mbona mwarabu haondolewi huko loliondo, wanaondolewa wamasai?
 
Ungenyamaza ingekusaidia kuficha ujinga !
Sasa ndio umeongea nini, pathetic.

Ningeweza kunyamaza kwa hoja ya kunielimisha.

Mbona kuna mijitu mijinga sana kwenye hii dunia; in your little pathetic head unadhani umeandika kitu cha kuninyamazisha on merit.

Are stupid are you?
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Serikali ipi i- respond? serikali hii inayowazuia watu kwenda Ngorongoro ndio i-respond kwa ujinga inaowafanyia wamasai Ngorongoro?

Kuwa serious kidogo.
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Toleo la Vyombo vya Habari

LESVERTS/ALE ou Parlement européen

Michèle Rivasi, Claude Gruffat & Pierrette Herzberger-Fofana

Wabunge wa Bunge la Ulaya

Jumatatu Septemba 4, 2023

Watatu wa Greens/EFA MEPS walikataliwa kuingia Tanzania



MEPS Michèle Rivasi, Claude Gruffat na Pierrette Herzberger-Fofana walipaswa kusafiri hadi Tanzania Jumatatu tarehe 4 Septemba kama sehemu ya ujumbe huru wa uangalizi kufuatia arifa za mashirika ya kiraia juu ya kufukuzwa kwa watu wa jamii asilia ya Masal na kukamatwa na kuzuiliwa kiholela ambao wanadaiwa kuwa waathirika. Baada ya miezi kadhaa ya maandalizi na huku maelezo yote ya ujumbe huu yakitatuliwa, serikali ya Tanzania kupitia kwa balozi wake katika Umoja wa Ulaya ilisema imeamua "kuahirisha ziara hii hadi tarehe ya baadaye", saa 24 kabla ya wajumbe hao kuondoka. Uamuzi usioeleweka ambao unatilia shaka kazi zote zilizofanywa kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania, NGOs na wawakilishi wa EU.

Michèle Rivasi, mwenyekiti mwenza wa ujumbe wa EELV na MEP akiwarejelea watu wa kiasili na jumuiya za wenyeji katika kamati ya maendeleo ya Bunge la Ulaya, alisema:

Ujumbe huu unatokana na meza ya duara niliyoiandaa katika Bunge la Ulaya mwezi Mei mwaka jana ili kukusanya shuhuda za Wamasai na hoja za serikali ya Tanzania. Olivier de Schutter, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Kibinadamu, pia alitupa heshima ya uwepo wake. Mjadala ulikuwa mzuri, wakati mwingine mkali, lakini ulisababisha ahadi kutoka kwa wawakilishi wa serikali ya Tanzania: uwezekano wa sisi, MEPS, kutekeleza misheni huru ya uchunguzi nchini Tanzania, pamoja na usambazaji wa bure ambao hii ingehitaji.

Pierrette Herzberger-Fofana, MEP die Grünen, Makamu wa Rais wa kamati ya maendeleo aliongeza:

Ahadi hii haikutekelezwa, kwani tuliamriwa tusisafiri kwenda Tanzania na wawakilishi wa nchi hiyo saa 24 kabla hatujaondoka. Huu ni ujumbe wa tatu wa uchunguzi kwa Tanzania kusitishwa na serikali, kufuatia majaribio ya Bw Francesco Cali, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Watu wa Kiasili, mwezi Desemba 2022 na kisha na Urithi wa Dunia wa UNESCO mwezi Agosti 2023. Uamuzi huu haukubaliki kwetu mtazamo wa nia yetu ya kuwa na maoni ya wadau wote mashinani, kuanzia na wawakilishi wa Serikali ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Masai Mara population ya Wamasai haiko contolled na wanaishi vizuri na wanyama pori wote!
Wamasai ni wachungaji si wawindaji na hawali nyama pori.. Na takwimu za utalii Kenya ziko juu maradufu ya Tanzania


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Wacha kuandika kijinga "huenda" ndiyo nini?


Unataka wamasai bado wawachwe shimoni huko na kuwa kivutioa cha watalii kwa kutupiwa biskuti na vijihela vya kupiga nao picha?

Hilo jambo lipo muda mrefu, wamepewa mashamba, nyumba na bado waendekezwe kuishi kama wanyama? Na hao wanyama huko wakaishi wapi, waingie mitaani?

Kama kuna "crime of humanity" kwa kuhamisha watu basi iongelee ya vijiji vya ujamaa vya nyerere, watu walitupwa maporini, hakuna chochote, walioliwa n simba haya, waliogongwa na nyoka haya, walioliwa na chatu haya, waliokufa kwa njaa haya, waliokufa kwa kukosa matibabu haya.

Mbona ile hamfunguwi midomo? Hamuijuwi?

Hao wahamishwe tu huko shimoni, hakuna namna. Hatuwezi kuona Watanzania wenzetu wakiendelea kuwa kivutio cha utalii kijinga.
 
Mbona mwarabu haondolewi huko loliondo, wanaondolewa wamasai?
Ulisikia kuna Mwarabu kafanya makazi yake kwenye kitalu cha kuwindia ambacho kapewa kisheria na anafata sheria? Unafikiri watu wanawinda kila siku kwenye vitaku vya kuwindia Tanzania?

Kun on season, utaona wanashuka KIA na Dar, wao na wateja wao. Off season hukuti mtu huko zaidi ya walinzi na ngedere wanaohamia.

Loliondo ile ni biashara ya halali kabisa, na vitaku vipo vingi sana Tanzania si hicho tu.

Wacheni ujinga wa kuwasakama Waarabu wanaowaletea maendeleo bila kuwasimanga wala kujionesha.
 
Mbona mwarabu haondolewi huko loliondo, wanaondolewa wamasai?
It’s a no brainer when it comes population density and expansion.

Mimi sio shabiki wa Maasai kuondolewa Ngororo, lakini lazima tuwe wa kweli; kila familia kijana wake kujenga boma jipya hilo swala aliwezekani.

Kwa sasa kuweka Masaai Ngorongoro swala la maboma yawe mambo ya urithi; wengine watoke.

Wanyamapori wana desturi zao ambazo sio sahihi kuziingilia na wanyamapori wana limited knowledge which is not fair to interrupt. Nonetheless humans are reasonable creatures.

Masaai anataka ajenge mpaka kuingilia wild symbiotic systems; Ngororo ili ibaki kama wild reserve lazima kuwe na ulazima wa ku manage human activities. Kucheka na Maasai inatosha
 
90% ya blacks zanzibar ni kizazi cha utumwa, ndivyo walivyoletwa visiwani kutokea kongo na kigoma …
 
Back
Top Bottom