news

  1. Kenya: Good news to married couples

    The kenyan government will increase maternity services allocation, due to the projected growth in pregnancies resulting from the covid19 crisis. The president said this in interviews with radio station journalists at state house. He said couples are spending more time together and this will...
  2. Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

    Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19. Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia...
  3. Kenya: Good news dog lovers

    Attention all Kenyan Dog lovers and breeding kennels,the annual Kenya police dog auction(In Langata ) has been postponed. This gives you time to prepare your wallet and vocal chords for this annual auction that is also a good family event. This year 18 highly trained and battle ready dogs from...
  4. Hivi Braking news ni habari yenye sifa ipi!

    Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi...
  5. J

    Coronavirus: Prince Charles tests positive for COVID-19

    Habari za hivi punde ambazo ni mpasuko kupitia BBC zinasema Prince Charles wa Wales amepata maambukizi ya virusi vya Corona. Prince alikuwa anafanya kazi zake kutokea nyumbani na haijulikani amepataje maambukizi. ------ Prince Charles has tested positive for coronavirus. Clarence House...
  6. S

    Tanzia: Sheikh Idd Nyundo afariki dunia

    Kuna taarifa zisizothibitishwa kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala [na hapo kabla Temeke] Mh. Idd Nyundo amefariki dunia leo asubuhi. bagamoyo,
  7. Korona yatua nchini Rwanda

    MUNGU ATUNUSURUU NAONA USAFIRI .... LIGI NAYO.. MMH
  8. Konza Technopolis (Konza City): Pictures & News

    Website: Konza Technopolis Konza (Konza Technopolis ) is a key flagship project of Kenya’s Vision 2030 economic development portfolio. Konza will be a world-class city, powered by a thriving information, communications and technology (ICT) sector, superior reliable infrastructure and business...
  9. Oryx washusha bei ya gesi

    Walee mliokuwaa mkimtukana basiasi njoooni hukuu Oryx Gas wamepunguza gesi kuanzia kesho 4-3-2020 KG 6 BEI YA KUUZA 20" 000 BADALA YA 22" 000 YA AWALI (2000) diff KG 15 BEI YA KUUZA N 50'000 BADALA YA 54" 000 YA AWALI (4" 000) diff TUNASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU ORYX GAS PAMOJA NAWE DAIMA
  10. Mgombea Wa Democrat Mwenye Tabia Za Kishoga Ajitoa Kugombea Urais Nchini Marekani

    Democratic presidential candidate former South Bend, Ind., Mayor Pete Buttigieg, left, meets with former President Jimmy Carter, center, at Buffalo Cafe in Plains, Georgia,March 1, 2020. Democratic presidential candidate former South Bend, Ind., Mayor Pete Buttigieg, left, meets with former...
  11. Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

    Shirika la Habari la Kimataifa la CNBC Africa tarehe 29 Februari, 2020 limerusha kwa zaidi ya nchi 100 duniani makala inayoeleza mafanikio ya Tanzania katika sekta mbalimbali Ripoti ya RMB ya mwaka 2020 imeitaja Tanzania imekuwa ya 21 duniani, Afrika imekuwa ya 4 na Afrika Mashariki imekuwa ya...
  12. Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

    Nakumbuka ilikuwa mwaka 1994, Kihanga, huko Iringa Vijijini, kwa mipango yako nilizaliwa, mtoto mdogo mwenye afya njema. Miaka sita mbele hakika nilibadilika hasa, kijana mchangamfu, mchapakazi, mwenye akili nyingi na fuarha tele, wazazi wangu walikuwa ni wenye kujivunia kijana huyu, Ndugu na...
  13. TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

    Heshima kwenu wakuu, Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU leo siku ya Ijumaa saa 7:00 mchana PCCB House Upanga, ataongea na vyombo vya habari. Tutatoa updates kwa kila kinachojiri. ==== UPDATES: Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Takukuru akizungumza...
  14. H

    Mjuumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi amejiuzulu

    Mwanahabari mkongwe na mjumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi bwana Baruani Muhuza ameamua kujiuzulu siku ya leo baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo yanayoendea ndani ya bodi hiyo.
  15. Vine yageuka Byte, imesaini mkataba na WEPLAY Group

    Mtandao uliokuwa maarufu duniani kote Vine umefanya mabadiliko na sasa utatambulika kama Byte. Vine kwa miaka kadhaa ilisimama imara kabla ya kupigwa vikumbo na magwiji Instagram, Snapchat na hata kusogezwa mbali zaidi na Tiktok. Vine imekuwa ikifanya tafiti na kutengeneza mbinu wezeshi za...
  16. Egypt raids Turkish-run news agency in Cairo, arrests and charges employees

    Authorities in Egypt raided the offices of the Turkish state-run Anadolu News Agency in Cairo on January 15, arresting four staff members on charges of false news. The four were released on bail on January 16. Egypt was the world's third worst jailer of journalists in 2019. Source: cpj.org
  17. 24 Hour Solar Energy now possible. Good news is price is falling dramatically

    This is the future of power of generation. Clean Energy with little enviromental impact.
  18. Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

    Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran. Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira . Tupeane updates ***** UPDATE Baada ya Iran kushambulia Kambi mbili za Jeshi za Marekani huko Iraq, Rais Trump...
  19. N

    Simba SC ndani ya PES 20

    Simba SC ya Tanzania ndani ya PES CAF, zipo teams 51 tu za africa ,ikumbukwe simba ni ya 16 afrika kwa ubora hivyo ni lazima iiingie kwenye issue hiyo
  20. TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

    Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa. Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa. Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…