news

  1. Pascal Mayalla

    Prof. PLO Lumumba ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga nondo za kufamtu kuhusu African Dev. Agenda

    Wanabodi, Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda. Andamana nami...
  2. Naxvegas254

    Jackline Jepkosgei Wins The New York City Marathon

    Happening Now on Citizen TV. Our beautiful majestic Lady Marathoner Jackline Jepkosgei has won the New York City Marathon. Hongera kwake huyo mwanadamu kwa kuwakilishwa Kenya katika mbio hizo za riadha kule Marekani.
  3. Jidu La Mabambasi

    Sunday News wametulisha tango pori au?

    Wadau nimeona hii picha Sunday News leo juu ya ujenzi wa Kwala " Inland" Container Depot, at Ruvu Mkoa wa Pwani. Nikashangaa kidogo maana picha haionyeshi u inland wowote bali panaonekaka ni ufukwe wa bahari ambayo natumaini ni bahari Hindi. Pengine kukaa mno Dsm kumeniathiri na ndio nawauliza...
  4. Pascal Mayalla

    Habari ya Dr. Shika Daily News: Dear Daily News, you are a broadsheet and not a tabloid!, habari za udaku, umbeya na udhalilishaji waachieni Tabloids!

    Wanabodi, Kupitia bandiko hili, imeripotiwa kuwa gazeti serious la serikali, The Daily News, ameripoti habari hii ya Dr. Shika https://www.jamiiforums.com/threads/bilionea-dr-shika-hana-sehemu-ya-kulala-analala-kituo-cha-magari-mnazi-mmoja-dar.1645086/#post-33317174 Imeripotiwa in a form of...
  5. Aloyce Mkwizu

    GUEST HOUSE INAUZWA BUGURUNI SOKONI

    Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838 Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
  6. ozalla

    Kanye West stay off From Politics, Focus on creativity

    The father of three Kanye West has announced on Twitter on Tuesday, that he taking a step back from politics after been heavily criticized for supporting President Donald Trump. The announcement comes after the rapper debuted a line of apparel for the “Blexit” campaign that encouraged...
  7. Z

    Assad Has Used Chemical Weapons 106 Times, Claims BBC

    BBC has completed its investigations in Syria, where they have discovered that Syrian President Assad has gassed civilians 106 times. I used to support Assad, lakini kama hii habari ni ya kweli, basi ni vizuri serikali yake ipinduliwe. Marekani, kazi kwako. Ama wewe waonaje? How chemical...
Back
Top Bottom