Mjuumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi amejiuzulu

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,577
18,904
Mwanahabari mkongwe na mjumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi bwana Baruani Muhuza ameamua kujiuzulu siku ya leo baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo yanayoendea ndani ya bodi hiyo.
 
Yule Demu alipoipa Mikia penalty dhidi ya Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo lenu nyinyi yanga Malinzi aliwabeba sana ndomana saiv pekee enu hamwezi

Embu kumbukeni lile goal alilo funga Tambwe la mkono mbona hamkuwaambia Tff walifute mlikaa kimya saiv ndo mnajifanya mnajua haki

Au kama una kumbukumbu tazama mechi ya mzunguko wa kwanza msimu wa 2016/17 goal halali la Ajibu lakini refa hakufungiw,vilevile kuna uhuni mwingi sana yanga wanafanya Tff inawanyamazia tu.

Kwakuwashauri tu ubovu wa Yanga upo kwa viongozi wenu wamekosa ubunifu wamejaa kulalamika ,wao kila siku ni lawama tu, wala hawafikirii maendeleo.
 
Hata point yetu kagera sugar kuchezesha mchezaji mwenye kadi,wakatunyima point 3 za ushindi
Tatizo lenu nyinyi yanga Malinzi aliwabeba sana ndomana saiv pekee enu hamwezi

Embu kumbukeni lile goal alilo funga Tambwe la mkono mbona hamkuwaambia Tff walifute mlikaa kimya saiv ndo mnajifanya mnajua haki

Au kama una kumbukumbu tazama mechi ya mzunguko wa kwanza msimu wa 2016/17 goal halali la Ajibu lakini refa hakufungiw,vilevile kuna uhuni mwingi sana yanga wanafanya Tff inawanyamazia tu.

Kwakuwashauri tu ubovu wa Yanga upo kwa viongozi wenu wamekosa ubunifu wamejaa kulalamika ,wao kila siku ni lawama tu, wala hawafikirii maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom