ndoa

  1. DuaZaMama

    GE2025 Kabati: Rais umetibu ndoa zetu

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilolo, Ritta Kabati, amesema utekelezaji wa sera ya Rais Samia Suluhu ya kumtua mama ndoo kichwani, umechangia kuokoa ndoa nyingi, baada ya serikali kufanikisha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi.
  2. To yeye

    Unawezaje kuishi na mwanamke asiye na utii

    Hivi mwanaume wajisikiaje pale unapoongea nami naongea,ukijibu nami najibu,ukiuliza na nauliza,ukikaripia nami nakaripa,ukinipiga nami narudishia,ukitukana nami zito hilo I mean mwajisikiaje kuishi na mwanamke asiyeweza kushuka au kutii hata chembe?
  3. Leejay49

    Mrejesho: Ile ndoa ni Kesho wakuu...

    Hi guys.. Hope mko poa na Mambo yenu yanaenda vizuri, Kwa ambao mko na changamoto Allah awafanyie wepesi insha'Allah kila kitu kitakua sawa Nimeleta Mrejesho wa Thread 'Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo' Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo Juzi watu wamesherehekea Send...
  4. N

    Mke wangu anatokwa damu kila tukifanya tendo la ndoa

    habari zenu,,, naombeni ushauri wenu wataramu wa afya,, yapata mwezi sasa tangu nianze kuishi nae rasimi kama wana ndoa. amekua akitokwa na damu ukeni kila ninapo shiriki nae tendo la ndoa mwanzozi nilidhani itakuwa ameingia period pasipo kujua na nilipo muuliza alidai nayeye anawaza kama...
  5. Bi zandile

    Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara kwa mwanamke huimarisha afya yake

    Mwanamke asiposhiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu anaweza kukumbana na mabadiliko ya kimwili kama vile ukavu wa uke, kupungua kwa uimara wa sakafu ya fupanyonga, na kupungua kwa ulainishaji asilia, na mabadiliko ya kihisia kama vile kuongezeka kwa mfadhaiko, hasira, wasiwasi, upweke, na...
  6. Bi zandile

    Kugusana gusana kwa wanandoa sio kwa tendo la ndoa pekee

    Baadhi ya wanandoa hutomasana pale tu wanapotaka kufanya tendo la ndoa. Huo sio upendo bali ni shughuli. Upendo wa kweli huambatana na kushikana shikana mikono bila sababu na hukumbatiana kwa sababu tu. Mguse mpenzi wako - bila sababu. Mdada, mkalie kwenye mapaja huyo mubaba wako mkiwa...
  7. Stability

    Hivi kwanini watoto wa mke mdogo, watoto wa kambo na watoto wa nje ya ndoa huwa wana visa na nongwa sana?

    Ushawahi kuona mtu ana lalamika na asie na shukrani zaidi ya mtoto wa kambo. Ushawahi kuona mtu ana kihele hele zaidi ya mtoto wa nje ya ndoa? Ushawahi kuona mtu ana roho mbaya zaidi ya mtoto wa mamdogo? BASTARD CHILD.🚮
  8. Pdidy

    Wana ndoa wengi wanajiongelesha wenyewe barabarani shida ni nini?

    Umeshawahi kujiuliza Wimbi la watanzania wengi kuongea wenyewe barabarani linaongezeka Mbaya wengine unakuta anqchezesha mpaka mikono kama anaongoza magari kwenye traffickligjt aisee Kila anaejiongelesha mwenyewe njiani kama sio chizi basi ni mmoja wa wanandoa Nawaza nini shida kwenye ndoa...
  9. Pdidy

    Hawara pamoja na kusaidia ndoa zetu kusimama, mjipange na hukumu nzito siku ya mwisho

    RIP MWAMBA.BR WILLY CONT RIP POPOTE ULIPO Ulikuwa kaka mwema Mume mwema kwa familia yako Lakini pesa ilipochanganya ukaanza kuchanganya madesa wa mahawar Ukujua wengine wana maroho ya mauti hatimae ukaishia kuchomeka na hawara yako kwenye gari.... Ni mwaka 2019 ma best nrda alikuwa ameanza...
  10. kadiri kasimba

    Ongezeko la talaka, ukatili na Migogoro kwenye ndoa Tanzania!

    Migogoro ya Ndoa na Ukatili wa Ndani Mialiko ya kesi za ndoa kwa huduma za ustawi (social welfare) Tafiti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, na Makundi Maalum ilionyesha kuwa hadi Aprili 2025, shughuli za ndoa zilizohusisha migogoro zilizofikishwa kwa huduma za ustawi zilifikia 97,234...
  11. ngara23

    Style ya kufanya tendo la ndoa ni Moja tu, hizo nyingine ni kujitafutia matatizo

    Kibaolojia, kiimani na kimaumbile, mwanaume na mwanamke wameumbwa kufanyiana tendo la ndoa kwa mtindo mmoja tu—mkao wa kawaida (kifo cha mende). Ndio mkao sahihi na salama kiafya, kitabia na kiimani. 1. Mkao Mwingine (Dog Style) Mkao huu umethibitika kuwa na madhara, hasa kwa wanawake...
  12. Sniper

    Vifungo vya Kichawi Baada ya Talaka

    Ndoa ni taasisi yenye nguvu kubwa kijamii na kiroho. Lakini pale panapojitokeza kutokuelewana, mara nyingi matokeo yake huwa ni migawanyiko na hatimaye talaka. Katika mazingira mengi, talaka haimalizii tatizo pekee, bali huibua hali mpya ya maumivu, visasi na mara nyingine mashambulizi ya...
  13. R

    Chameleone Kusaini talaka baada ya miaka 17 kwenye ndoa. Adai mali ni za watoto

    Mkongwe wa Mziki nchini Uganda Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleone amevunja ukimya kuhusu mwenendo wa talaka yake na Mke wake Daniella Atim waliofunga ndoa miaka 17 iliyopita na kusisitiza kuwa ingawa amekubali mali zake kugawanywa lakini hakubaliani na kitendo cha kulazimishwa kusaini...
  14. Lucha

    Mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa.

    Asalam Alaykum. Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa Sifa zangu Miaka 28 Mrefu Mwembamba Muajiriwa. Sina mtoto. Sifa za mwanamke naemuhitaji Muislam Anaevaa stara. Asiwe na mtoto. Miaka 26 kurudi chini. Asante tangazo hili ni kwa yule tu alie tayari kuingia kwenye ndoa ikiwa...
  15. kiss ov love

    Dear future husband ukiniabisha siku ya ndoa yetu kama hivi, sitaweza kukuvumilia

    Kwani ni lazima maharusi kucheza siku ya sherehe ya ndoa yao, kama haujui si ni heri mtulie tu kuliko kujidhalilisha kama hivi😅😅😅
  16. Penguinelli Cactussini

    Natafuta mke/mpenzi/mchumba LAKINI awe amenizidi umri

    Mimi ni mwanaume nina miaka 27 kwa sasa. Natafuta mwanamke wa kumuoa nimweke ndani kabisa niwe mumewe naye awe mke wangu. Sina elimu kubwa ila najua kusoma na kuandika. Nimepanga geto nalipa kodi 40k kwa mwezi. Sina tattoo wala mchoro wowote. Ni mkristo na Rastafari Ni mrefu wa futi 6.2...
  17. T

    Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Lengo kuu la ndoa ni kuwa na familia ila kama unaweza kupata watoto bila kuoa basi ndoa haina maana. Now nina watoto wawili na sijaoa, nioe ya nini? Lengo la ndoa ni watoto na ninao why nijipe stress za bure wakati maisha yenyewe ndo haya na kila siku watu humu wanalialia kwa wanayopitia...
  18. Bi zandile

    Usiharibu starehe ya tendo la ndoa kwa kuweka simu karibu na kitanda ikiwa on

    Imagine simu yako ikilia wakati unapofanya mapenzi na umenogewa na mikito ya raha.... Hapo lazima mood iharibike. Mpendwa usiruhusu skrini kuua muunganisho wako na mpenzi wako. Weka simu mbali na kitanda na uizime kabisa utanishukuru. Baadhi ya mambo yanastahili kuzingatiwa bila kugawanyika...
  19. Bi zandile

    Ushauri kwa yeyote anayefikiria kuingia katika ndoa

    Kama tendo la ndoa halina maana kwako, basi ndoani sio sehemu yako. Katika ndoa, tendo la ndoa sio hiari - ni msingi. Ikiwa unapenda kutenga pesa zako peke yako, basi baki mseja daima. Ndoa ni maono ya pamoja, pochi ya pamoja, na dhabihu ya pamoja. Ikiwa unawapenda wazazi wako zaidi...
  20. Fbn

    Hakuna kuwapa DMZ hawa CCM hapa JF ni kama tunawapa taarifa tunatakiwa kuwafanyia umafia kama wafanyao wanaofunga ndoa.

    DMZ kwa wanauchawa wa IT wa CCM sijui kama wanafahamu ila limegawanyika kimaana ila zote ni sawa.DMZ maana fupi ni usalama wa matandao.Kwa upande mwengine utumika kama mipaka (Demilitarized Zone). Kuingilia mitandao na vyombo vya habari CCM ni kwamba wanaona watu wanasanuka na kuwaacha uchi...
Back
Top Bottom