Nimegundua ndoa zimekufa muda sana

Nimegundua ndoa zimekufa muda sana

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,913
Reaction score
67,435
Nilicho gundua ndoa nyingi zime kufa mda mrefu sana ila watu wana pretand kama bado wapo pamoja

Hii baada ya kuambiwa mwenyekiti wa jumia yetu na mkewe wamegawana vyumba lakn kwa watu wanaonesha kuwa wapo pamoja na kanisani wana shirirki ekarist takatifu kabisa

Means ndoa nyingi sana zime baki kwasababu ya watoto tu lakini hali ni mbaya sana kwa wana ndoa guys usijaribu kuingia kwenye ndoa mapema watu wanakufa na sonona
 
Nilicho gundua ndoa nyingi zime kufa mda mrefu sana ila watu wana pretand kama bado wapo pamoja

Hii baada ya kuambiwa mwenyekiti wa jumia yetu na mkewe wamegawana vyumba lakn kwa watu wanaonesha kuwa wapo pamoja na kanisani wana shirirki ekarist takatifu kabisa

Means ndoa nyingi sana zime baki kwasababu ya watoto tu lakini hali ni mbaya sana kwa wana ndoa guys usijaribu kuingia kwenye ndoa mapema watu wanakufa na sonona
Ndoa baada ya miaka 2 ni maigizo tu.

adriz de mbusii
 
Nilicho gundua ndoa nyingi zime kufa mda mrefu sana ila watu wana pretand kama bado wapo pamoja

Hii baada ya kuambiwa mwenyekiti wa jumia yetu na mkewe wamegawana vyumba lakn kwa watu wanaonesha kuwa wapo pamoja na kanisani wana shirirki ekarist takatifu kabisa

Means ndoa nyingi sana zime baki kwasababu ya watoto tu lakini hali ni mbaya sana kwa wana ndoa guys usijaribu kuingia kwenye ndoa mapema watu wanakufa na sonona
Hizo ndoa nyingi ni nini? Au ndoa ya mwenyekiti huyo ndo 'ndoa nyingi'?

Kuna watu wamefunga ndoa mchana sasa ndo yao imekufa muda mrefu kibipi?

Shubamit!
 
Back
Top Bottom