Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,395
3,899
Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa

Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi

Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors

Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi kwako

Kwa mfano mtu mwenye Heart failure ejection fraction ya below 40℅ ukimpa dawa ya kushusha pressure lazima afe.

Nakumbuka baba yangu alikuwa na shida ya Heart failure nilikuwa namfuatilia kila siku
.
Nilijua dawa gani inafaa na dawa gani haimfai lilikuwa kosa moja tu alipojisikia kuumwa akaenda hospitali akakutana na mwanafunzi Clinical officer alipogoogle dawa na kumpa ya loop diuretics haikumchukua hata Massa mawili

Tuwalinde vulnerable people bila kujali jinsia umri rangi chama dini na kabila
 
Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa

Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi

Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors

Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi kwako

Kwa mfano mtu mwenye Heart failure ejection fraction ya below 40℅ ukimpa dawa ya kushusha pressure lazima afe.

Nakumbuka baba yangu alikuwa na shida ya Heart failure nilikuwa namfuatilia kila siku
.
Nilijua dawa gani inafaa na dawa gani haimfai lilikuwa kosa moja tu alipojisikia kuumwa akaenda hospitali akakutana na mwanafunzi Clinical officer alipogoogle dawa na kumpa ya loop diuretics haikumchukua hata Massa mawili

Tuwalinde vulnerable people bila kujali jinsia umri rangi chama dini na kabila
Kwa nini walikuwa na clinic huko nje ya nchi badala ya hapa nchini ambako huduma za afya zimeboreshwa?
 
Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa

Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi

Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors

Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi kwako

Kwa mfano mtu mwenye Heart failure ejection fraction ya below 40℅ ukimpa dawa ya kushusha pressure lazima afe.

Nakumbuka baba yangu alikuwa na shida ya Heart failure nilikuwa namfuatilia kila siku
.
Nilijua dawa gani inafaa na dawa gani haimfai lilikuwa kosa moja tu alipojisikia kuumwa akaenda hospitali akakutana na mwanafunzi Clinical officer alipogoogle dawa na kumpa ya loop diuretics haikumchukua hata Massa mawili

Tuwalinde vulnerable people bila kujali jinsia umri rangi chama dini na kabila
Kama madaktari wetu wana prescribe dawa za kugoogle, basi kuna hatari.
 
Magereza yote yangefunguliwa kuwaruhusu Wafungwa wanaokaribia kutoka watolewe kupunguza Msongamano kwa kuwa wengi wana maradhi sugu plus huu msongMano

Kwenye Hotuba yake ya Mwisho Bungeni, Balozi Mahiga alisema alipita Magerezan na akashuhudia hilo balaa la msongamano

Iran walichukua hatua hii ikawasaidia sana japo wana vikwazo vya US

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza pole kwa kifo cha baba yako,
Pili yaweza kuwa umetekwa na story za vijiweni na kuanza kumlaumu huyo CO bila kujua,tatizo la heart failure maana yake moyo unashindwa kusukuma damu kuweza kutimiza mahitaji ya mwili kwa sababu hyo ya moyo kushindwa kusukuma damu fluids huwa zinajazamana kwenye mapafu,tumboni,miguuni nk kwa sababu moyo umeshindwa kusukuma,katika hali hyo tunatoa dawa Amby itatoa hzo fluid ili mgonjwa apate nafuu ambyo ni hyo loop diuretics,
Katika scenario hyo Huyo clinical officer alikuwa sahihi kabixa inawezekana baba alifariki tyr akiwa na already ongoing complication,

Hvo don't judge just ask wanaojua watakuona mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza pole kwa kifo cha baba yako,
Pili yaweza kuwa umetekwa na story za vijiweni na kuanza kumlaumu huyo CO bila kujua,tatizo la heart failure maana yake moyo unashindwa kusukuma damu kuweza kutimiza mahitaji ya mwili kwa sababu hyo ya moyo kushindwa kusukuma damu fluids huwa zinajazamana kwenye mapafu,tumboni,miguuni nk kwa sababu moyo umeshindwa kusukuma,katika hali hyo tunatoa dawa Amby itatoa hzo fluid ili mgonjwa apate nafuu ambyo ni hyo loop diuretics,
Katika scenario hyo Huyo clinical officer alikuwa sahihi kabixa inawezekana baba alifariki tyr akiwa na already ongoing complication,

Hvo don't judge just ask wanaojua watakuona mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
No si kila loop diuretics ni muhimu unaposema nasikiliza story za vijiweni unakosea mtu anayetumia Lorsatan au captopril huwezi tu ukakurupuka kumpa hydralalazine kwa hiyo ninajua ninachokiandika kuwa kuna umakini mkubwa mnoo tena mnoo kwenye management ya wagonjwa wa moyo hasa heart failure
 
Kwa nini walikuwa na clinic huko nje ya nchi badala ya hapa nchini ambako huduma za afya zimeboreshwa?
Hawa nyang'au walikuwa hawawaamini ma-doc wa hapa nyumbani hasa kwanza matendo yao kwao hayakuwa mazuri!unasahau kuna wakati waligoma wakidai stahiki zao ziboreshwe na mazingira yao ya kazi yaboreshwe wakaishia kumng'oa meno na kucha kiongozi wao na wao wakiambiwa wakatafute kazi wanakoona kuna maslahi zaidi?

Sasa mtu unajua kabisa system uliyopo haimlipi vizuri na umeshindwa kutetea kwa nafasi yako ili alipwe vizuri utamkabidhi vipi afya yako?na unajua kikundi chenu kinaweza kukufanyia mpango ukaenda kutibiwa kwa madaktari wanaolipwa vizuri na wenye vifaa stahili kuendana na afya ya mwanadamu,Mungu anawafundisha adabu wale waliokuwa wanajisahau kuwaboreshea wananchi mambo ya msingi wakijiona kwamba wao haiko siku watatakiwa waingizwe humo.

Corona siyo tajiri,siyo maskini sijui kiongozi ikikupata hapo ulipo utajisaidia kwa mazingira uliyojitengenezea no matter what kama ni mazuri utakufa au hutakufa kama ni mabaya ndo itakuwa balaa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom