(2 Wafalme 7:1-20).
Nasummarize Kwa uchache,
Washami wakaizingira Nchi nzima ya Israel, Israeli ikapata habari na kufunga malango yote ya nchi!!
WAKOMA 4 nao wakafungiwa nje ya mji. Kufungwa malango ya mji kukazuia supply yote ya vyakula, bidhaa nk.
Njaa ikawa kuu sana nchini, waisraeli...