Tanzania kukubali kuwa mwenyeji katika ufunguzi wa mashindano haya ya Caf ni heshima kubwa sana. Hivyo haiwezekani uongozi wa Caf ukubali Simba ifungwe game hii ya ufunguzi.
Hivyo itakuwa tayari mkakati wa kuiomba Al Ahly umeshafanyika kukubali kuachia .
Simba leo tule raha zetu mwanzo mwisho.
Sema game ya marudiano ndio tutashindana kwa haki.
Hivyo itakuwa tayari mkakati wa kuiomba Al Ahly umeshafanyika kukubali kuachia .
Simba leo tule raha zetu mwanzo mwisho.
Sema game ya marudiano ndio tutashindana kwa haki.