Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 944
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Mhe. David kihenzile aridhishwa na maendeleo, usimamizi na maboresho yanayoendelea kwenye uwanja wa ndege wa Arusha ikiwemo Ujenzi wa jengo jipya la abiria Kiwanjani hapo.
Akizungumza Jijini Arusha mara baada ya kukagua jengo la abiria kiwanjani hapo Naibu Waziri Kihenzile amesema Tanzania ni ya pili Kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii duniani hivyo Serikali itahakikisha inaboresha Miundombinu ya viwanja ili kurahisisha huduma za usafiri wa anga Nchini.
Akizungumza Jijini Arusha mara baada ya kukagua jengo la abiria kiwanjani hapo Naibu Waziri Kihenzile amesema Tanzania ni ya pili Kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii duniani hivyo Serikali itahakikisha inaboresha Miundombinu ya viwanja ili kurahisisha huduma za usafiri wa anga Nchini.