Tsunami: Yalikuwa mazoezi ya nchi 25, lakini je tumefanya sahihi?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
Nimesoma taarifa ya UNESCO inayoeleza kuhusu mazoezi ya Tsunami kwa nchi zilizo katika mwambao wa Bahari ya Hindi. Mazoezi haya yalitaka kupima uwezo wa nchi katika kuhakikisha jamii inakuwa tayari na kuangalia uwezo wa mawasiliano. soma taarifa hiyo hapa Indian Ocean Countries Get Ready for IOWave23 Tsunami Preparedness Exercise

Swali ni Je, tumefaulu katika mawasiliano na kuhakikisha Jamii inasikiliza mamlaka?

Aisee, mimi naona hatujafaulu kwa kuwa sijaona kiumbe akiwa katika harakati za kuondoka katika maeneo yaliyotajwa. Aidha, hata mamlaka kusisitiza watu sijaona. Zoezi linatakiwa kuwa kama kweli ili likitokea kweli watu wawe wanajua cha kufanya.

Mathalani, hospital hazikuandaliwa. Na Ripoti ya Tsunami imetolewa na TMA, taasisi ambayo watz hawaiamini hivyo wakati mwingine mamlaka zinazoaminiwa ndio zitoe taarifa, (Sio lazima kufuata protocal) yaani hata akija waziri Mkuu kusema kama ana imani na watu ni rahisi watu kufuata.

Kifupi mawasiliano na kujiandaa kwetu ni kwa kijinga sana
 
Nimesoma taarifa ya UNESCO inayoeleza kuhusu mazoezi ya Tsunami kwa nchi zilizo katika mwambao wa Bahari ya Hindi. Mazoezi haya yalitaka kupima uwezo wa nchi katika kuhakikisha jamii inakuwa tayari na kuangalia uwezo wa mawasiliano. soma taarifa hiyo hapa Indian Ocean Countries Get Ready for IOWave23 Tsunami Preparedness Exercise

Swali ni Je, tumefaulu katika mawasiliano na kuhakikisha Jamii inasikiliza mamlaka?

Aisee, mimi naona hatujafaulu kwa kuwa sijaona kiumbe akiwa katika harakati za kuondoka katika maeneo yaliyotajwa. Aidha, hata mamlaka kusisitiza watu sijaona. Zoezi linatakiwa kuwa kama kweli ili likitokea kweli watu wawe wanajua cha kufanya.

Mathalani, hospital hazikuandaliwa. Na Ripoti ya Tsunami imetolewa na TMA, taasisi ambayo watz hawaiamini hivyo wakati mwingine mamlaka zinazoaminiwa ndio zitoe taarifa, (Sio lazima kufuata protocal) yaani hata akija waziri Mkuu kusema kama ana imani na watu ni rahisi watu kufuata.

Kifupi mawasiliano na kujiandaa kwetu ni kwa kijinga sana

Punguza sauti mkuu kuna wengine wanaombea El Nino ili wathibitishe ufanisi
 
8311F281-715D-4BBD-923C-A30210B5FC86.jpeg
aluuuh wanasayanso wa muhezo muna taboo nyinyi yaan hamuno jambu dogu
 
TMA hawaaminiki Kila taarifa wanayotoa lazima ipuuzwe, wameshatoa utabiri wa hali ya hewa mara nyingi na ukawa tofauti na uhalisia mara nyingi
 
Nimesoma taarifa ya UNESCO inayoeleza kuhusu mazoezi ya Tsunami kwa nchi zilizo katika mwambao wa Bahari ya Hindi. Mazoezi haya yalitaka kupima uwezo wa nchi katika kuhakikisha jamii inakuwa tayari na kuangalia uwezo wa mawasiliano. soma taarifa hiyo hapa Indian Ocean Countries Get Ready for IOWave23 Tsunami Preparedness Exercise

Swali ni Je, tumefaulu katika mawasiliano na kuhakikisha Jamii inasikiliza mamlaka?

Aisee, mimi naona hatujafaulu kwa kuwa sijaona kiumbe akiwa katika harakati za kuondoka katika maeneo yaliyotajwa. Aidha, hata mamlaka kusisitiza watu sijaona. Zoezi linatakiwa kuwa kama kweli ili likitokea kweli watu wawe wanajua cha kufanya.

Mathalani, hospital hazikuandaliwa. Na Ripoti ya Tsunami imetolewa na TMA, taasisi ambayo watz hawaiamini hivyo wakati mwingine mamlaka zinazoaminiwa ndio zitoe taarifa, (Sio lazima kufuata protocal) yaani hata akija waziri Mkuu kusema kama ana imani na watu ni rahisi watu kufuata.

Kifupi mawasiliano na kujiandaa kwetu ni kwa kijinga sana
Tuna viongozi wajinga
Tuna watawala wapumbavu
Tuna vitengo visivyojali raia
 
Waziri mkuu ajaye labda, ofisi ya Waziri Mkuu ilishatumika kuwadanganya watz wakati rais wetu haonekani mtaani.



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa
Nimeandika "kama bado anaaminika" maana katika ulimwengu wa sasa hakuna anayeamini kirahisi, kuna baadhi ya watu hawaamini kama kuna ukimwi, hawaamini kama kuna covid19, hawaamini homa ya manjano, hawaamini TRA, PCCB, Police, TMA, hawaamini wanahabari, hawaamini viongozi hadi wa dini, kifupi hawaaminiki
 
Back
Top Bottom