Usinunue mkuuHabari wana jamvi?
Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Shemeji yangu yaani kaka wa mke wangu anataka kuniuzia shamba sasa nikasema mambo ya kwa wakwe napo kuna kuwaaga na changamoto zake ngoja nipate japo uzoefu kwa wadau.
Bei nipeni tahadhari wakuu.
Siku ukifa huku nyuma utaacha mzozo sana.Habari wana jamvi?
Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Shemeji yangu yaani kaka wa mke wangu anataka kuniuzia shamba sasa nikasema mambo ya kwa wakwe napo kuna kuwaaga na changamoto zake ngoja nipate japo uzoefu kwa wadau.
Bei nipeni tahadhari wakuu.
Mkuu hili linawezekana bila shida kama eneo umeliona ni potential na una Plan nalo.Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Shemeji yangu yaani kaka wa mke wangu anataka kuniuzia shamba sasa nikasema mambo ya kwa wakwe napo kuna kuwaaga na changamoto zake ngoja nipate japo uzoefu kwa wadau.
Mwanasheria ahusike..Habari wana jamvi?
Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Shemeji yangu yaani kaka wa mke wangu anataka kuniuzia shamba sasa nikasema mambo ya kwa wakwe napo kuna kuwaaga na changamoto zake ngoja nipate japo uzoefu kwa wadau.
Bei nipeni tahadhari wakuu.
ni vizuri gentlemanHabari wana jamvi?
Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Shemeji yangu yaani kaka wa mke wangu anataka kuniuzia shamba sasa nikasema mambo ya kwa wakwe napo kuna kuwaaga na changamoto zake ngoja nipate japo uzoefu kwa wadau.
Bei nipeni tahadhari wakuu.
Imfikie The Boss Lady wangu Mademoiselle LabellaKama eneo lipo ukweni, mbali na kwenu USINUNUE.
Fikiria siku ikitokea mkeo kafa kabla yako utaenda kulima au kuishi hapo?
Siku ukiachana na mkeo utaenda kufanya chochote hapo?
Dada yetu mmoja mtoto wa mama yetu mkubwa kafa kaacha mume na watoto.
Alistaafu kazi akaacha nyumba yao Dar akaenda kijijini kwa mkewe(kwetu).
Anaishi kama lofa boya au digidigi vile, pale hana ndugu.
Mume wa mama mdogo naye kafanya ujinga huo huo. Sasa anasali anaomba atangulie kufa yeye ..😂😂😂