Nataka nianze biashara ya Air BnB mwanza ?? Nitatoboa?

Nataka nianze biashara ya Air BnB mwanza ?? Nitatoboa?

Mwanza haina wageni wengi kuweza kustawisha hiyo biashara ya airbnb

Kwa maoni yangu, hiyo biashara inafaa kwenye maeneo yenye wageni wengi hasa wa Kimataifa

Kwa utafiti wangu, hiyo biashara inalipa Zanzibar, DSM na Arusha

Hiyo mikoa mitatu, hata ndege za kwenda huko huwa zinajaa wageni wengi kuliko wenyeji
 
Hizi ndio nyuzi za mwendo kazi aiseee....😜
Yaani unaandika kana kwamba kila anaesoma yumo ndani ya ufahamu wako...🤔
Kama hafahamu hawezi nishauri mkuu?

Kama topic huielewi wal hujawai kusikia n ngumu sana kuchangia mchango yakinifu
 
Mwanza hawajifikia level za kuwa na Airbnb. Hii biashara inawezekana kwenye majiji ambayo hotel ni gharama kubwa sana.
Hii point nimeichukua lakin mbona naona Air bnb ni garama kuliko hotel
 
Mwanza haina wageni wengi kuweza kustawisha hiyo biashara ya airbnb

Kwa maoni yangu, hiyo biashara inafaa kwenye maeneo yenye wageni wengi hasa wa Kimataifa

Kwa utafiti wangu, hiyo biashara inalipa Zanzibar, DSM na Arusha

Hiyo mikoa mitatu, hata ndege za kwenda huko huwa zinajaa wageni wengi kuliko wenyeji
Huu mchango ndo nilikua nauhitaji
 
Back
Top Bottom