natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr mussa

    Natafuta jiko la gesi kwajili ya kuchomea chipsi yale ya kutengenezwa

    Habari! Natafuta hilo jiko ambaye anauza tunaweza fanya biashara. Pia kama kuna mtungi wa gesi hii mikubwa nao nahitaji. Mawasiliano 0743451357. Hata ukinisaidia connection jinsi ya kuyapata utakuwa umenisaidia. Ahsante
  2. baba mausingizi

    Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri

    Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri, iwe haijawahi pata ajali, haijarudiwa rangi no D. Offer yangu ni milioni 7. Mawasiliano ni 0766049522.
  3. Bata batani

    Natafuta kazi ya kujitolea kama messenger nitume popote ntaenda

    Habari zenu wana jf Natafuta kazi yeyote ya kujitolea kama messenger unitume popote nitaenda mahala popote nitaenda kwa gharama nafuu tuu Ukinilipa hata elfu moja au mbili kwa siku ntashukuru ili mradi nipate hela ya kula Kimakazi nipo dar njoo inbox
  4. A

    Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha sita

    Habarini wakuu, Elimu yangu ni form six Jinsia ni ke Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali Kufundisha(naweza kufundisha masomo yote except physics) kwa O-level Kufundisha primary /nursery Upishi pia naweza Kaunta Hata uhasibu naweza mahesabu Kazi yoyote halali naweza kufanya...
  5. Darucha

    Nipo Arusha natafuta kazi yoyote

    Kama wahenga walivyosema kwenye miti huwa hapakosi wajenzi Mimi ni kijana umri wangu miaka 25 natafuta kazi jamani ya Aina yoyote elimu yangu ni kidato Cha sita ni kijana muaminifu na mtiifu pia jamani nataka kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yangu ukweli ni kwamba. Nilikuwa kwenye moja ya...
  6. M

    Natafuta Business Partener

    Habari wakuu. ELIMU: Bachelor of science in Mechanical Engineering from University of Dar es Salaam. UZOEFU Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye masuala ya Machine design, Metal fabrication, Machine operation, Cost estimation, Project management, Leadership na mambo ya Management. KAMPUNI...
  7. S

    Nina Shahada ya Sosholojia, natafuta kazi

    Habari za wakati WanaJF, Kwa majina naitwa Annette nina shahada shahada ya sosholojia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma. Nimekuja mbele yenu nikiomba kazi yoyote Ile hata nje ya Taaluma yangu au sehemu yoyote ile ya kujitolea nipo tayari. Natanguliza shukrani zangu.
  8. P

    Natafuta vifaa hivi

    Naomba msaada wapi nitapata Camcorder na accessories kwa ajili ya Live streaming.
  9. Bahati mathiad

    Natafuta kazi Laboratory Assistant

    Mimi ni mtaalam wa maabara (lab assistant), mwenye uzoefu wa miaka 3 na kazi, natafuta kazi katika kanda ya kaskazini, naishi Arusha. Vigezo vyote ninavyo pia nina lessen ya kudum (ERP) nahitaji mtu aliye serious na kazi yake mwenye kufuata ushauri wa mtaalamu. Namba ya simu 0625318808
  10. K

    Natafuta mwekezaji

    Habari, Mimi ni kijana wa kitanzania, ninaishi DSM.. ninajishughulisha na kazi za usanidi wa mifumo ya kompyuta (computer programming). Kampuni yangu mpya inaitwa sari technologies LTD. Je, umeshawahi kusahau documents zako au mzigo wako wa muhimu sehemu..? Je, umeshawahi kutaka kumtumia mtu...
  11. Darucha

    Msaada jinsi ya kuupata wimbo huu wa zamani (zilipendwa)

    Jamani natafuta huu wimbo muda mrefu Bila mafanikio sijui jina lake staili ya uimbaji ni kama ya magic system au papa Wemba ile nyimbo kama sio mkongo aliyeimba Basi ni watu kutokana West Africa au central Africa hii nyimbo inaimbwa kwa mtindo huu naandika Kiswahili. "Kiberenge kinaokoaaaa...
  12. kaffir

    Natafuta pikipiki used

    Habari wana jukwaa, Natafuta pikipiki uesd aina ya sanlg. Napatikana Dar. Mawasiliano karibu PM
  13. M

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Kwa aliyetayari kwenda kwenye hatua hii. Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume, kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni kwenye shughuli zangu na kurudi home. Ninao kutana nao wengi kwanza hawaamini kama nipo single na...
  14. vijola

    Natafuta soko la tangawizi

    Wakubwa shikamoo!!! Kwa wale wadogo hamjambo!!!! Na wale tunaolingana mambo niaje..... Kwanza nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi wa rehema usio na kikomo kwa kutujalia tumeamka salama siku ya leo ....niende kwenye mada moja kwa moja . Mimi najihusisha na shughuli za kilimo cha...
  15. Binadamu Mtakatifu

    Natafuta blog and youtube channel partner

    Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog iihapo na soon nitanunua domain name mpya www.supersoundtz.blogspot.com njoo Pm tuyajenge sitozi pesa
  16. DENICE ADRIAN

    Natafuta chuo kinachotoa higher diploma ya ualimu wa sayansi, iwe private au govnment

    Nina div. 2 ya pcb ya mwaka 2016. Natafuta chuo wanachofundisha diploma ualimu wa sayansi. Je nitapata wapi chuo na je nitakubaliwa? Msaada plz
  17. V

    Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi

    Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
  18. E

    Natafuta mchumba seriously

    Vigezo; Awe Mkristo awe dhehebu lolote. Awe ana miaka isiyozidi 25 Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4 Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani. ******* Mimi ni msabato na ni nina miaka 28 Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri "Mungu awabariki nyote" No_0626408314. Pia...
  19. F

    Natafuta Muwekezaji wa chainsaws mashine

    Mimi Nina uzoefu wa kuwekeza kwenye hizi mashine za kukatia mbao na nimekuwa nikifanya kazi hii kwa muda kidogo na vijana wangu Ila mwaka Jana mwishoni nilipata matatzo ya kifamilia ya ghafla na kupelekwa kuuza mashine yangu. Lakini toka mwaka huu uanze nimekuwa nikipokea oda za mbao Ila...
  20. kaic hamisi

    Natafuta kazi

    Napenda kutoa salamu kwa wote jamani ni wote ni wazima poleni kwa majukumu mimi ni kijana wakiume mwenye umri wa miaka 21 elimu kidato cha nne natafuta kazi yeyote ile iwe ya kiwandani, ofisini nk cha muhimu iwe kazi halali naishi mbagala kata wa Kijichi matumain yangu naweza kupata msaada...
Back
Top Bottom