mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
Wadau wote, wanahitajika wasomi wenye degree walau za masoko au za afya aina yoyote au ofisa mauzo wenye weledi kwa ajili ya masoko ya huduma za afya, lengo ni kuuza system za IT kwenye hospitals za private na za serikali na kwamba maofisa hawa watafanya kwa mikataba ya muda mfupi mfupi wenye malengo (targets) baada ya kuwasilisha CV, kushinda udahili, makubaliano kimkataba, na training/mafunzo (online/ classroom base) na kuwapa mikakati ya kazi
Tuma CV kwa madiba.mult.business@gmail.com
Maswali yote yatajibiwa papo kwa papo .................................
Deadline kutuma maombi ni Jumatano trh 30/06/2021;
Tuma CV kwa madiba.mult.business@gmail.com
Maswali yote yatajibiwa papo kwa papo .................................
Deadline kutuma maombi ni Jumatano trh 30/06/2021;