Vijana wa kazi za shambani wanahitajika, wawe waaminifu.
Eneo la kazi ni Iringa, nikipata vijana watatu wanatosha.
Kazi kubwa ni kuhudumia mashamba ya maharage, kuanzia hatua ya kupanda, umwagiliaji, kuweka mbolea pamoja na kupiga dawa.
Kazi ni ya msimu wa miezi miwili.
Malazi, chakula na Afya...