Habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:-
1. PLC programming, Installation and troubleshooting.
2. Installation and troubleshooting of Industrial Data Communications such as RS 485, Fiber Optics, HART, Profibus, Profinet, Modbus, Ethernet/IP.
3. Troubleshooting and calibration of Industrial Instrument devices such as Pressure, Temperature, Level, Flow.
4. Knowledge of VFDs, VSDs and PID controllers.
5. Motor maintenance and troubleshooting.
Na nipo tayari kujifunza na kufanya kazi kwa bidii.
Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna moja au nyingine naomba anisaidie ili niweze kupata internship.
Namba ya simu. +255 676 957 955
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:-
1. PLC programming, Installation and troubleshooting.
2. Installation and troubleshooting of Industrial Data Communications such as RS 485, Fiber Optics, HART, Profibus, Profinet, Modbus, Ethernet/IP.
3. Troubleshooting and calibration of Industrial Instrument devices such as Pressure, Temperature, Level, Flow.
4. Knowledge of VFDs, VSDs and PID controllers.
5. Motor maintenance and troubleshooting.
Na nipo tayari kujifunza na kufanya kazi kwa bidii.
Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna moja au nyingine naomba anisaidie ili niweze kupata internship.
Namba ya simu. +255 676 957 955