Vigezo;
Awe Mkristo awe dhehebu lolote.
Awe ana miaka isiyozidi 25
Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4
Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani.
*******
Mimi ni msabato na ni nina miaka 28
Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri
"Mungu awabariki nyote"
No_0626408314.
Pia...
Mimi Nina uzoefu wa kuwekeza kwenye hizi mashine za kukatia mbao na nimekuwa nikifanya kazi hii kwa muda kidogo na vijana wangu Ila mwaka Jana mwishoni nilipata matatzo ya kifamilia ya ghafla na kupelekwa kuuza mashine yangu.
Lakini toka mwaka huu uanze nimekuwa nikipokea oda za mbao Ila...
Napenda kutoa salamu kwa wote jamani ni wote ni wazima poleni kwa majukumu mimi ni kijana wakiume mwenye umri wa miaka 21 elimu kidato cha nne natafuta kazi yeyote ile iwe ya kiwandani, ofisini nk cha muhimu iwe kazi halali naishi mbagala kata wa Kijichi matumain yangu naweza kupata msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.