natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Doreen27

    JamiiForums Tanzania Afisa Muuguzi II natafuta kazi ni nipo Dar es Salaam

    Habari za wakati huu wanajamii? Mimi ni muuguzi, jinsia Ke, umri miaka 28, naishi Mbezi beach Dar es Salaam, nina leseni ya uuguzi, nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi wa mwaka mmoja. Naomba connection ya kazi kwenye hospitali, au kwenye mashirika ya Afya ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta shamba la kununua Kisaki heka 50 - 200

    Wadau wasalaam! Nataka kuanza kilimo kikubwa maeneo ya kisaki, morogoro. Natafuta shamba la kununua eka 50 mpaka 200. Naomba offer au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu wa eneo hili. Asanteni.
  3. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke kwaajili ya mahusiano baadaye awe mke wangu

    Habarini Ndugu zangu Mimi ni mwanaume(Kijana), nina miaka 23. Dini yangu ni Mkristo. Elimu yangu ni Degree, sasa hivi ni mjasiriamali. Natafuta binti wa kuanza naye mahusiano awe na miaka kati ya 18-22, ambaye mahusiano yetu yatapelekea kuwa wanandoa. Kama uko tayari tuwasiliane Inbox...
  4. Isaya mwakyoma8

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, elimu yangu ni Form Four

    Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-: Stationary miezi 6 Mashine za kusaga nafaka miaka 2 Afisa mikopo kwa wajasiliamali wadogo wadogo mwaka 1 Uwakala wa m-pesa, tigopesa mwaka mmoja...
  5. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Nipo Mwanza natafuta kazi, nilisoma mpaka kidato cha tano

    Wasalaam ndugu zangu katika jukwaa hili... Mimi ni kijana wa miaka 24 nipo mwanza manispaa ya ilemela ñaomba mwenye nafasi yoyote ya kazi sehemu yoyote na mahali popote nipo tayari kufanya kaz elimu yangu ni kidato cha nne nilibahatika kufika mpk kidato cha tano lkn sikuweza kumaliza kutokana...
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano

    Naitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo. Sifa zangu: Nina upendo wa dhati Najituma Nimsikivu na mwelewa Sipendi kelele🤣🤣🤣 Niko simple Sana. Sifa za nimtakaye: Awe na upendo Mpole sanaaa Muelewa na awe simple tu kama Mimi Mawasiliano yangu +254781847643. (WhatsApp)...
  7. Stephen Ngalya Chelu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi/ajira

    sifa zangu elimu: shahada ya kwanza katika procurement and logistic managemen location: dar. Licha ya taaluma hiyo, kazi yoyote halali nitaipokea. natanguliza shukrani.
  8. malunde_mc

    JamiiForums Tanzania Natafuta Ajira fani ya Kilimo

    Habari wana JF Nina Diploma in General Agriculture natafuta kazi katika fani hiyo.Mshahara maelewano.
  9. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Natafuta Bwana/Bi Shamba (Crop Production Specialist) wa kusimamia shamba kwa muda wa miezi 6 kuanzia Oktoba 2021

    Natafuta Crop Production Specialis wa kusimamia shamba langu lililopo Dodoma eneo la Zuzu nje kidogo ya Jiji la Dodoma. Shamba hilo ni jipya (halijawahi kulimwa) litaanza kulimwa kuanzia Oktoba 2021. Kazi ya kusimamia shamba hilo itaanza mwezi Oktoba 2021 na itaendelea kwa muda wa miezi 6...
  10. simon baker

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari ndogo Dar budget 4mil

    Tafathali rejea hapo juu, Binafsi natafuta gari ya mishe za hapa mjini. budget 4mil Namba kuanzia B..japo hata Kama una A unaamin Ina thaman tupia haina shida maana mi fundi ntaikagua mwenyew Vits RS /ist/gx110 ndo huwa mpenz Dondosha picha na namba nichambue
  11. Mkushi Mbishi

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kurudisha email iliyosahaulika password

    habar ndugu zangu natafuta mtaalam nitakayemlipa kama tutakavokubaliana ili anirudishie email yangu ya gmail ambayo nimesahau pasward zake..namba nilizoweka kwenye email ni mbili lkn nikibonyeza forgot pasward wanatuma code nikiingiza code,wanataka kutuma tena kwenye namba yapili. kibaya zaidi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta field( account, finance and planning)

    Naitwa Mourine Elisha, mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha( IAA), Niko mwaka wa pili nikichukilia Bachelor degree in Economics and finance. Natafta sehem kwa ajili ya field I'm competent in accounting, finance, economics and planning. Kwa yeyote anaejua au maelekezo anaeweza kunitafta kupitia...
  13. kalooo 25594

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba cha kupanga Ubungo

    Chumba 50
  14. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kanga 20 wa kufuga nipo Mwanza

    NATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5 weka bei hapa na mahala wa kuwapata
  15. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi nijikimu kimaisha

    Wadau kwema. Kijana wenu natafuta kazi niweze kujikimu kimaisha, nina hali mbaya sana kiuchumu hali ambayo inaniletea msongo wa mawazo kufikia hatua ya kuwaza mambo mabaya.. Kazi nazoweza kufanya Kazi ya sales Storekeeper Kusaidia fundi. Kazi ya kusimamia mradi Kazi ya usafi Na kazi nyinginezo...
  16. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Natafuta kitabu Someni kwa furaha 2B. 15,000 ipo hapa.

    Natafuta hiki kitabu chenye hadithi ya bulicheka. Kama unacho kiscan na kunitumia. Nina 15,000 ya shukrani.
  17. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi mashambani na viwandani

    Habari wakuu Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 nipo dar Kwa miaka 10 sasa nimekuwa nikijishughulisha na Kazi za ukarani (tally clerk),operation manager, c&f agent na mtunza kumbukumbu za maghala katika makampuni mbali mbali Kutokana na mifumo ya Kazi nilizowahi kufanya nimekuwa...
  18. Sudysmile

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Napatikana Arusha, shamba liko maeneo ya Nduruma. Shamba liko full drip kwa ajili ya irrigation nahitaji mtu tutakayeingia ubia tufanye kazi ya kilimo pamoja . Tunatumia diesel kujaza maji kwenye bwawa. Bwawa lina uwezo wa kuingia maji lita ml 1.2 maji yakatokea kwenye kisima mita 107. So...
  19. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Rafiki zangu wanatafuta kadi za chama cha Mapinduzi kwa Gharama yoyote

    Habari za Leo wakuu, Baada ya kuwashawishi kwa muda mrefu hatimae jamaa zangu wamekubali kujiunga na CCM. Hivyo wanatafuta kadi za chama cha Mapinduzi kwa Gharama yeyote.
  20. Nyamsusa JB

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mhudumu wa kuhudumia Mzee

    Habari. Natafuta Fulltime Mhudumu wa nyumbani wa kumhudumia Baba Mzee. Mzee anahitaji kusaidiwa huduma zote kwani ni mhanga wa Stroke. Sifa za Mhudumu. - Awe ni mzoefu wa kuhudumia wazee au watu wasiojimudu kujihudumia - Awe ni mtu mwenye Upendo na uvumilivu. - Mhudumu wa Kike atapewa...
Back
Top Bottom