Isaya mwakyoma8
Member
- Dec 15, 2015
- 7
- 5
Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four
Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-:
Pia niko vizuri kimasoko kwa kutafuta wateja kupitia social network
Namba: 0693019398
Nipo DSM, Kariakoo
Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-:
- Stationary miezi 6
- Mashine za kusaga nafaka miaka 2
- Afisa mikopo kwa wajasiliamali wadogo wadogo mwaka 1
- Uwakala wa m-pesa, tigopesa mwaka mmoja.
Pia niko vizuri kimasoko kwa kutafuta wateja kupitia social network
Namba: 0693019398
Nipo DSM, Kariakoo