natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kimosy

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Jamani natafuta apple acid vinegAr inakouzwa hapa dar es salaam
  2. Rich Dad

    Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Natafuta madarasa ya shule yaliyokamilika kwa ajili ya kukodisha kigamboni. Kama unayo taarifa yeyote tafadhali nicheck inbox
  3. Charlesnbundalah

    Natafuta kazi au kibarua chochote halali

    Habari ndugu zangu naitwa Charles mimi naomba mwenye connection ya kazi/ kibarua cha halali anisaidie kuniunganisha kwa maeneo ya Dar es Salaam maana nilikuwa nafanya biashara sasa kulingana na ya uchumi mtaji wangu umekata. Nipo hapa kuwaomba ndugu zangu mnisaidie nipate kazi ili niweze...
  4. I

    Natafuta rafiki mchumba baadaye awe mke kabisa

    Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, ni kijana mwenye miaka 30 kwa sasa, pia ni mkristo. Mjasiriamali pia. Natafuta mchumba baadaye awe mke. Umri wake ni miaka 27 mpaka 30. Dini yeyote pia sichagui, elimu kuanzia kidato cha nne, atokee sehemu yeyote Tanzania hii, ila mkazi wa Dar es Salaam atapewa...
  5. Mr Confidential

    Natafuta Housing ya HP 250 G6

    PC yangu imeharibika housing. Nikiifunga na kufungua ndio inazidi kuvunjika. Je, ni wapi naweza kupata housing mpya au used? (Ni housing ya plastic) Makadirio ya bei ni kiasi Gani? Na gharama za ufundi ni kiasi Gani? Nb: Hizi picha nimedownload online. Ila PC iliyoharibika Iko exactly the same...
  6. 0753535994

    Natafuta kazi ya salon

    Naitwa Edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure. Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu. Nina uzoefu wa kutosha na hiyo kazi namba ya +255753255263 /+256708462740
  7. osmaney

    Natafuta dada wa kazi za nyumbani.

    Habari wapendwa! Samahani, natafuta dada wa kazi za nyumbani. atakuwa anaishi nyumbani. na nyumba ipo na mke pamoja mtoto tu. Kigezo; Awe na miaka kwanzia 18 - 24, Mchamungu & anayejielewa. Eneo: Dar es salaam. Mshahara: Maelewano. Mawasiliano: +255 676 797 679
  8. PakiJinja

    Natafuta Mwanamke wa kuoa

    Ndugu wanajamvi. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza. Nimeamua kuacha na life hili la kisera na la kujiamulia nitakavyo na kuanza life litakalonifanya ku surrender na kuji limi au kulimitiwa kwenye baadhi ya mambo. Pamoja na uamuzi huo muafaka kwangu, hili halienda patulo bila vigezo. Aina...
  9. T

    Natafuta Wanunuzi wa Mbegu za Alizeti

    Habari Wadau, Ninatafuta Wanunuzi Wa Mbegu Za Alizeti Kwa Ajili Ya Kukamua Mafuta. Nina Tani Za Kutosha Ni Uwezo Wako Tu Mteja. Kilo Moja Nauza 965/= Oda Ya Chini Kabisa Tani 1 = Kg1000 PM Kwa Maelezo Zaidi.
  10. Koffi Annan

    Natafuta mtu atakayenipunguzia mzigo wa filamu kwa bei ya jumla

    Kijana wenu hapa nafungua movie library ya kisasa, kudownload movie zote itakua time consuming, mwenye ana collection ya movie kali zote za 2020 to 2022 aliyepo mwanza tunaweza punguziana nikakupa ela kidogo ya wi fi.
  11. K

    Natafuta mtu wa kushirikiana tufungue Maabara (health) au ubia

    Hello waungwana, Nipo mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane. Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno...
  12. H

    Natafuta garage nzuri kwa ajili ya IST New model

    Mimi ni mkazi wa DSM eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model. Hivi karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikuwa ina leakage na nozzle zilikuwa hazi spray mafuta vizuri kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu. Nimepeleka gari kwa fundi hivi...
  13. F

    Natafuta mke

    Natafuta mchumba atakaye kuwa mke wangu. 1. Awe ana hofu ya Mungu. 2. Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD). 3. Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato. 4. Awe na shape/figure. 5. Asiwe na mtoto. Age (25-32) Mimi nina miaka 33, nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia...
  14. K

    Natafuta kazi nina uwezo huu

    Mimi ni mdada, mwenye uwezo wa kazi za receptionist, secretary, office attendant, Assistant administrator, Matron na pia ata storekeeper na hata mikoani naweza relocate Msaada
  15. E

    Natafuta Mchumba/Mke

    Mimi ni mwanaume wa miaka 38, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha. Muonekano wangu. Urefu- Mrefu Kiasi cm 173 Rangi- Mweusi. -Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida) Elimu yangu- degree 2 Kazi- Mtumishi (Taasis ya Serikali) Sifa za ninae Mtafuta. Rangi- Yoyote. Miaka - Kuanzia 25...
  16. Andrew Timotheo3105

    Natafuta kazi ya kufundisha fani ya uhazili

    Naitwa Andrew Timothy natafuta nafasi ya kazi ya kufundisha fani ya Secretarial. Nina uzoefu wa miaka miwili katika ufundishaji katika masomo ya Shorthand, Hatimkato, Secretarial Duties, Office practice, Typing Lakin pia Enterpreneurship Education and training..! Niko DSM Email...
  17. P

    Natafuta kazi yoyote

    Ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 20 naomba kama kuna mtu ana kazi yoyote anisaidie ili niweze kuwatunza mama angu na wadogo zangu. Tafadhali kama ukiguswa na una moyo naomba unisaidie Mungu atakulipa tunateseka sana.
  18. ajent45

    Natafuta kazi ya ualimu wa shule binafsi kwa masomo ya Physics na Mathematics kwa ngazi ya O-level

    Habari zenu wa ndugu, Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho. Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
  19. R

    Natafuta mkulima wa bamia Arusha

    Habari wakuu. Natafuta mkulima wa bamia Arusha. Nahitaji debe/ndoo angalau 40 za bamia iliyo tayari. Mawasiliano 0656388678
  20. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA. Natafuta kazi yoyote ya halali hapa KAHAMA, niifanye kwa miezi miwili hii, mpaka mwezi wa pili ili angalau nipate nauli...
Back
Top Bottom