Habari Wana Jf,
Mimi ni binti wa miaka 27 nimesoma diploma ya uhasibu na tangu nimemaliza sikubahatika kupata kazi zaidi ya kufanya biashara ndogo ndogo nazo zimekufa kwa kukata mtaji.
Sina familia yakuitegemea labda ningeweza kuomba mtaji hivyo nawaomba ndugu jamaa na marafiki wa humu Jf kwa unyenyekevu naombeni kazi mkoa wowote hata nikianza kwa kujitolea na malipo kidogo nitashukuru.
Mimi ni binti wa miaka 27 nimesoma diploma ya uhasibu na tangu nimemaliza sikubahatika kupata kazi zaidi ya kufanya biashara ndogo ndogo nazo zimekufa kwa kukata mtaji.
Sina familia yakuitegemea labda ningeweza kuomba mtaji hivyo nawaomba ndugu jamaa na marafiki wa humu Jf kwa unyenyekevu naombeni kazi mkoa wowote hata nikianza kwa kujitolea na malipo kidogo nitashukuru.