Portal
Member
- Feb 14, 2023
- 29
- 77
Ndugu wana JF napenda kuwasalimu kwa jina la bwana wetu Yesu Kristo.
Napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke, tangazo hili nimelileta hapa jukwaani kwa sababu jukwaa hili ni meeting point ya watu wenye rika na jinsia tofauti kutoka katika jamii mbali mbali.
Nimetumia muda wangu mwingi kuwekeza katika sector mbali mbali Ili nipige vita umaskini kwa sababu nachukia umasikini na aina zake, hakuna kitu kibaya kama umaskini.
Kwa kuwa nimejipanga vizuri sasa natafuta mke ili tuwe na familia vile vile tusaidiane na mke kusimamia miradi iliyopo na kuanzisha miradi mingine.
Nina uwezo wa kutunza familia kwa 100% na kusomesha watoto wangu watakaozaliwa international educational institutions from kindergarten to university press without applying for higher learning students loans board.
Kutokana na mila na tamaduni za Kiafrika miaka 38 bila kuwa na familia naesabiwa kwamba nimechelewa kwangu mimi bora nichelewe ila nifike salama.
Nimewekeza katika sector mbali mbali kama vile
(a) Accomodation service(s)
(b) Wholesale and retail trades
(C) Live stock herding
(d) Financial services etc.
Sifa zangu.
Msichana au mwanamke yeyote anayewiwa karibu tuzungumze tukikubaliana tufunge ndoa.
Mawasiliano.
1. Pm.
2. email address: wanyangithomas24@gmail.com
Napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke, tangazo hili nimelileta hapa jukwaani kwa sababu jukwaa hili ni meeting point ya watu wenye rika na jinsia tofauti kutoka katika jamii mbali mbali.
Nimetumia muda wangu mwingi kuwekeza katika sector mbali mbali Ili nipige vita umaskini kwa sababu nachukia umasikini na aina zake, hakuna kitu kibaya kama umaskini.
Kwa kuwa nimejipanga vizuri sasa natafuta mke ili tuwe na familia vile vile tusaidiane na mke kusimamia miradi iliyopo na kuanzisha miradi mingine.
Nina uwezo wa kutunza familia kwa 100% na kusomesha watoto wangu watakaozaliwa international educational institutions from kindergarten to university press without applying for higher learning students loans board.
Kutokana na mila na tamaduni za Kiafrika miaka 38 bila kuwa na familia naesabiwa kwamba nimechelewa kwangu mimi bora nichelewe ila nifike salama.
Nimewekeza katika sector mbali mbali kama vile
(a) Accomodation service(s)
(b) Wholesale and retail trades
(C) Live stock herding
(d) Financial services etc.
Sifa zangu.
- Economic fighter
- 38 years of age
- Poverty protestant
- Am posesing more than one university degrees
- Economic fighter
- matured woman from 28 to 37 years of age.
- Mchapa kazi.
Msichana au mwanamke yeyote anayewiwa karibu tuzungumze tukikubaliana tufunge ndoa.
Mawasiliano.
1. Pm.
2. email address: wanyangithomas24@gmail.com