charenger
Senior Member
- Mar 16, 2023
- 181
- 258
Habari wakuu?
Mimi nimejifunza ufundi magari na kazi nishaweza changamoto yangu ni kuwa kwa sasa Sina sehemu ya kufanyia kazi mana kunasehemu nilikuwa nimejishikiza ila kwa sasa hii sehemu ishafungwa kutokana na fundi mkuu kushindwa kulipa Kodi kwahio naomba Kama kuna fundi mechanics anahitaji msaidizi anitafute nipo tayari kufanya kazi popote.
Umri wangu miaka 22 nipo Dar, magari ambayo najua kutengeneza ni
PM ipo wazi mwenye uhitaji tuwasiliane.
Mimi nimejifunza ufundi magari na kazi nishaweza changamoto yangu ni kuwa kwa sasa Sina sehemu ya kufanyia kazi mana kunasehemu nilikuwa nimejishikiza ila kwa sasa hii sehemu ishafungwa kutokana na fundi mkuu kushindwa kulipa Kodi kwahio naomba Kama kuna fundi mechanics anahitaji msaidizi anitafute nipo tayari kufanya kazi popote.
Umri wangu miaka 22 nipo Dar, magari ambayo najua kutengeneza ni
- Toyota
- Nisan
- Mistubish
- Ford ranger
PM ipo wazi mwenye uhitaji tuwasiliane.