Habari za usiku huu wakubwa.
Aisee mpaka naamua kuandika uzi usiku huu ni kwamba mambo yamenifika shingoni.
Nina kipindi cha kama wiki mbili au tatu mfululizo kila nikilala naota ndoto nikipambana either na mnyama mkubwa(tembo, nyati au simba), binadamu mmoja mwenye weledi wa juu kabisa, watu...