Naomba ushauri juu ya kununua gari

finyango

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
2,457
1,673
Wakuu naomba ushauri wenu.

Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017.

Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja.

Chaguo langu la kwanza ni G wagon Mercedes Benz.
Wakuu nawasilisha
 
Nunua hii. Mafuta inanusa.

07615f36-972c-4f16-86fa-85f340c6d608.jpg


a53f144a-6696-49a0-891e-349a91af09b4.jpg
 
U
Wakuu naomba ushauri wenu.Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017.
Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja.
Chaguo langu la kwanza ni G wagon Mercedes Benz.
Wakuu nawasilisha
UNajua Bei ya G wagon 63 au 65 ?au unaandika tuu kulinganisha na Prado?
 
Ni muhimu pia kuwa na kitu cha ndoto yako, bila kufikiria gharama za uendeshaji. Nunua yoyote unayopenda kufuatana na uwezo wa mfuko wako, kuhusu matumizi ya mafuta au spea; zote zinapatikana cha muhimu ni mfuko uwe vizuri.
 
Wakuu naomba ushauri wenu.Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017.
Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja.
Chaguo langu la kwanza ni G wagon Mercedes Benz.
Wakuu nawasilisha
Ningekushauri BMW SUV lakini haipo kwenye machaguo yako
 
Mkuu unanunuaje gari private inayotumia dizeli, huna habari kuhusu uchafuzi wa mazingira......private car inatakiwa itumie petroli, gesi au umeme, dizeli itumike kwenye malori na mitambo.
ndio naomba ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom