Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,647
- 20,984
Habari za asubuhi waungwana wote hapa, Yupo ndugu yangu ameanza kuwa mweupe katika sehemu mbalimbali za mwili wake, weupe unaofanania kama wa zeruzeru vidoleni na miguuni.
Je, huu ni ugonjwa gani na husababishwa na kitu gani au ukosefu wa madini gani na tiba kamili ni ipi?
#Thanks you.
Je, huu ni ugonjwa gani na husababishwa na kitu gani au ukosefu wa madini gani na tiba kamili ni ipi?
#Thanks you.