Habari za leo wanajamiiforums.
Naomba mwenye connection ya kibarua chochote cha malipo ya siku kwa Dodoma aniunganishe.
Nitatoa shilingi elfu kumi(10,000) kama shukrani.
Naweza kuwa kondakta wa daladala, kiwandani, saidia fundi, najua kuendesha pikipiki japo sina leseni n.K.
Mimi ni mwanaume...