Msaada: Naomba makadirio ya hizi nyumba

MR LINKO

JF-Expert Member
Aug 20, 2016
3,034
3,480
Habari kwa wajuzi wa majengo,nyumba,apartment naomba kujua gharama za hii ramani kwa ujumla. Nature ya eneo lako ni tambarare, kumbuka makadirio ya KIASI CHA PESA TU.

PICHA NUMBER 1

8-one-bed-apartment.jpg.jpeg


PICHA NUMBER 2
19-two-bedroom-plan.jpg.jpeg


Natanguliza shukranii
 
Habari kwa wajuzi wa majengo,nyumba,apartment naomba kujua gharama za hii ramani kwa ujumla. Nature ya eneo lako ni tambarare, kumbuka makadirio ya KIASI CHA PESA TU.

PICHA NUMBER 1

View attachment 2269678

PICHA NUMBER 2
View attachment 2269679

Natanguliza shukranii
Kuna watu wamesomea haya mambo chuoni kwa miaka 4 mpaka 5... watafute wakupe mwongozo.

NB: Huwezi toa makadirio kwenye picha, ingekua mchoro wenye vipimo hapo sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom