Kuna watu wamesomea haya mambo chuoni kwa miaka 4 mpaka 5... watafute wakupe mwongozo.Habari kwa wajuzi wa majengo,nyumba,apartment naomba kujua gharama za hii ramani kwa ujumla. Nature ya eneo lako ni tambarare, kumbuka makadirio ya KIASI CHA PESA TU.
PICHA NUMBER 1
View attachment 2269678
PICHA NUMBER 2
View attachment 2269679
Natanguliza shukranii