Hesabu ana F sasa mambo ya uchumi si itakawa kipengele ?University of iringa unapata bachelor sciences of Economic and Finance
Tembelea Tovuti www.uoi.ac.tz
Ungesema una div ngapi ili upewe ushauri vizuri. Ila nenda pale SUA na ARU kuna kozi zitakufaaNaombeni USHAURI KUHUSU CBG
Ufaulu wangu Ni Gs D, Math F, Bios D, Geog C ,chem ,F .
Kwa mnavyo ona naweza pata kozi gani na chuo gani.
Ahsanteni
www.tcu.go.tz download Undergraduate Admission Guidebook inaonyesha orodha ya vyuo na kozi na sifa za kujiunga kwa kila koziNaombeni USHAURI KUHUSU CBG
Ufaulu wangu Ni Gs D, Math F, Bios D, Geog C ,chem ,F .
Kwa mnavyo ona naweza pata kozi gani na chuo gani.
Ahsanteni