Habarini wadau, nimeshauriwa through media hii nimtafute Poshocity ili aweze kunipa ushauri juu ya suala langu la kiserikali kulingana na yeye kuwa na uzoefu/ kupitia changamoto kama nilizopitia. Nimemtafuta kupitia njia hii sijapata mawasiliano yake. Tafadhali sana naomba mnisaidie kama Kuna mtu yeyote mwenye contacts zake anitumie through 0624162318