Habari wakuu! Mm ni kijana mwenzenu Mtanzania halisi.Nimekuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu kidogo .Kwa sasa niko kanda ya ziwa natakiwa kuja dar this month kwa ajili ya matibabu.Kwa bahati mbaya sina sehemu ya kufikia huko,nahitaji nipate ata kama kuna jumba ( pagale) ambalo linahitaji mtu...
Habari zenu, nahitaji Vitz Old Model inayotumia mtungi wa gas na mafuta, nipo Dar Es Salaam, mda wowote nakuja kuicheki gari, nipo serious kiasi kwamba hata leo leo tunaweza kumaliza biashara.
Gari: Vitz OLD MODEL (Inayotumia Gas na mafuta)
Namba ya usajili: Yoyote ile kikubwa engine na gearbox...
Nahitaji IST Old Model namba ya usajili yoyote ile but yenye vigezo vifuatavyo:
1. Body iwe nzuri
2. Mwaka wa usajili kuanzia 2017 kuendelea, ili niweze kulipia bima kubwa.
3. Iwe na AC
4. Engine iwe vizuri
5. Gearbox iwe vizuri
6. Ikiwa na bampa kubwa ni vizuri zaidi japo sio muhimu sana...
Jina langu kwenye vyeti vyangu vyote ,pamoja na nida linafanana,yan mfano john kulwa sembo,
na taarifa za jina la baba kwenye nida yake pamoja na cheti changu cha kuzaliwa ni Frank kulwa sembo je kuna athari zozote kwenye bodi ya mikopo 2025 2026
Habari za wakati huu wana jukwaa
Nahitaji kupata mtu kwa ajili ya kufanya nae biashara joint kwenye shughuli za uchimbaji
Nina uzoefu wa miaka 2 kwa sasa,nikiwa namiliki duara kadhaa,miaro ikiwa na crush(garasha),mashamba yenye uwezo wa kuchimba
Napatikana mkoa wa Mara wilaya ya Bunda...
Hello Members wa JF...
Kama nilivyotangulia kusema kwenye kichwa cha habari. Ni kweli niko seriously natafuta agents wanaohusika na kazi za uarabuni. Niko tayari kufanya kazi za ulinzi, mashambani, bustani, supermarket au sehem yeyote rafiki.
Kwa agent ambaye anahusika anitafute inbox au...
Asee wakuu kwema?
Kijana abandoned bango 100, kila bango 1 shilingi za kitanzania 800. Bandika bango 100 uchukue 80000 mzee mambo yasiwe mengi..
Kazi inataka watu wa dar wenye ari na nguvu na uhitaji wa kazi.
Tunapendelea kufanya kazi na wa kiume zaidi. Kazi itaanza jumatatu na mwisho wa...
Natumai mmeamka salama Familia ya wanajf
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ,naomba msaada wa kufahamu tofauti kati Certificate of registration for TIN na service levy(BRELA)
Wakuu, nimeamua kujiBabu Tale. Nimefikiria mbali sana kimaisha, ikanibidi nitafute wasanii chipukizi wanaopanua makoo yao kwenye viwanja vya mpira nyakati za jioni nikaona wacha niwasapoti kimuziki huenda nitapata chochote hapo baadae hususani kwenye ma show pindi watakapokuwa wakubwa
Au kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.