Habari wanazengo,
Nimekua na shauku sana la kusajili biashara yangu ya hardware itambulike rasmi kama kampuni, sasa katika kufuatilia nimekutana na vitisho vingi kutoka kwa watu mpaka inapelekea niwe na utulivu ili nipate elimu kwanza kabla ya kuingia moja kwa moja kwenye kusajili kampuni...
Habari kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji mke wa kuoa. Nilishakua na mahusiano huko nyuma ila kuna mambo yalitokea mengi tukaachana ila sijawahi kuoa wala sina Mtoto. Ukiwa interested karibu
Sifa zangu
ELIMU: Degree.
Kazi: Network administrator
Umri: 33
Location: Dar
Rangi: Black...
Sifa zangu:
Mwanaume mwenye umri wa miaka 30, kabila maasai
Degree ya Kwanzaa
Muajiriwa sekta binafsi
Mweusi, mrefu na mwili wa wastani
Mkristo
Sijawahi kuoa na Sina watoto
Napenda jogging na kusali
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji
Mkristo kabila lolote
Mweusi na mwenye urefu wa wastani
Aliye...
Habari wakuu! Mm ni kijana mwenzenu Mtanzania halisi.Nimekuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu kidogo .Kwa sasa niko kanda ya ziwa natakiwa kuja dar this month kwa ajili ya matibabu.Kwa bahati mbaya sina sehemu ya kufikia huko,nahitaji nipate ata kama kuna jumba ( pagale) ambalo linahitaji mtu...
Habari zenu, nahitaji Vitz Old Model inayotumia mtungi wa gas na mafuta, nipo Dar Es Salaam, mda wowote nakuja kuicheki gari, nipo serious kiasi kwamba hata leo leo tunaweza kumaliza biashara.
Gari: Vitz OLD MODEL (Inayotumia Gas na mafuta)
Namba ya usajili: Yoyote ile kikubwa engine na gearbox...
Nahitaji IST Old Model namba ya usajili yoyote ile but yenye vigezo vifuatavyo:
1. Body iwe nzuri
2. Mwaka wa usajili kuanzia 2017 kuendelea, ili niweze kulipia bima kubwa.
3. Iwe na AC
4. Engine iwe vizuri
5. Gearbox iwe vizuri
6. Ikiwa na bampa kubwa ni vizuri zaidi japo sio muhimu sana...
Jina langu kwenye vyeti vyangu vyote ,pamoja na nida linafanana,yan mfano john kulwa sembo,
na taarifa za jina la baba kwenye nida yake pamoja na cheti changu cha kuzaliwa ni Frank kulwa sembo je kuna athari zozote kwenye bodi ya mikopo 2025 2026
Habari za wakati huu wana jukwaa
Nahitaji kupata mtu kwa ajili ya kufanya nae biashara joint kwenye shughuli za uchimbaji
Nina uzoefu wa miaka 2 kwa sasa,nikiwa namiliki duara kadhaa,miaro ikiwa na crush(garasha),mashamba yenye uwezo wa kuchimba
Napatikana mkoa wa Mara wilaya ya Bunda...
Hello Members wa JF...
Kama nilivyotangulia kusema kwenye kichwa cha habari. Ni kweli niko seriously natafuta agents wanaohusika na kazi za uarabuni. Niko tayari kufanya kazi za ulinzi, mashambani, bustani, supermarket au sehem yeyote rafiki.
Kwa agent ambaye anahusika anitafute inbox au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.