Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

Bjorn

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
31
Reaction score
73
Kichwa cha habari hapo juu cha husika.

Maisha ya upweke ymenichosha hivyo nahitaji mwanamke wa kuishi nae maisha ya kumpendeza Mungu.

Sifa kubwa awe na uhitaji wa mume kweli na pia awe mwanamke mwenye maono kuhusu maisha na awe mwanamke anayejitambua.

On top of that, elimu yake isipungue Bachelor degree ila inaweza kuwa hiyo au zaidi ya hapo sio tatizo. Awe amezaliwa kati ya mwaka 1990 hadi 2000.

More importantly awe mwanamke mwenye uwezo wa ku-handle mwanaume kama anayeongelewa kwa video hii hapa chini, maana nahisi nipo hivyo na kwa muktadha huo nahitaji mwanamke mwenye mawazo positive ili aweze kunifanya ndoto ninazofikiria kufikia tuweze kuzifikia kama familia na hatimae tuwe na mji bora na kuheshimika katika jamii itakayotuzunguka.

NB: Ukijifanyia tathimini na kuona upo tayari kuishi na mume wa aina hiyo na kweli una uhitaji wa mume wako, then usisite kunitafuta kwa ajili ya mazungumzo ya awali na kufahamiana zaidi.

KARIBU SANA 🙏 😘
 

Attachments

  • VID-20260124-WA0000.mp4
    16.5 MB
Ni jambo jema ila hakikisha ukimpata kapime magonjwa ya zinaa yote.

Mwenzio hapa nilikua naham pia kama wew, mwez uliopita nikavuta jiko tukachukua kipmo cha VVU tukawa salama.

nikaanza kukifakamia kitumbua mda wote naotaka. wiki haikukata nikawa nakojoa mkojo wa moto na usaha pia
ila kumbe dem ana gono tena ya mwaka mzma afu dem nmemtoa kijijn, ila nmemrudisha kwao kwanza nijitibie. Unaenda kuisha mwez wa pili huu bila nafuu

sina aman hapa bdo sijapona japo had sindano nmepgwa Sion unafuu. najutaaaa

BORA PUNYETO utakua salama ila anaejua dawa msaada plz nawaza
 
Ni jambo jema ila hakikisha ukimpata kapime magonjwa ya zinaa yote.

Mwenzio hapa nilikua naham pia kama wew, mwez uliopita nikavuta jiko tukachukua kipmo cha VVU tukawa salama.

nikaanza kukifakamia kitumbua mda wote naotaka. wiki haikukata nikawa nakojoa mkojo wa moto na usaha pia
ila kumbe dem ana gono tena ya mwaka mzma.

sina aman hapa bdo sijapona japo had sindano nmepgwa Sion unafuu. najutaaaa

BORA PUNYETO utakua salama ila anaejua dawa msaada plz nawaza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Joanah ona hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom