nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Secretarybird nahitaji ushauri nasaha, no reforms no election imenitia matatani

    Asalamaleku wakuu! Wakuu naombeni mnipe ushauri Kwa hili lililonitokea maana yaonekana nimejichanganya na masikitiko pamoja na majuto yamenijaa hadi pomoni. Kama mnavyojua sasa hivi Kuna vuguvugu la "no reforms no election" na mimi ni mmoja wa mtu ninayeunga mkono hii movement na katika...
  2. ngara23

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuwa Mwanaharakati wa wanyama wafugwao, kuhusu zoezi kuchinja

    Hawa wanyama ni wema na ni rafiki kwetu sisi binadamu Lakini binadamu wamekuwa wapumbavu na wakatili Kwa viumbe hivi Wanyama hawawezi kuongea wala kujitetea, watatetewa na nani ? 1. Kuhusu suala la kuchinja. Tunaweza kuwa tunahitaji kitoweo kutoka Kwa wanyama ila utaratibu wa kuchinja, ni...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kazi yoyote ili nipate 1,050,000/= ndani ya siku 7

    Mimi ni kijana umri miaka 28 niko Dodoma nasoma chuo kimoja cha afya.... Tar 16 kuna mitihan ya ndan inafanyika na nmezuiwa kutoifanya kwasababu sijamaliza ada maana nilikuwa najisomesha mwenyewe na kwa sasa vitu vyangu vimeharibika . Hivyo nilikuwa nahitaji msaada wa kazi yoyote (isipokuwa...
  4. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Nahitaji viti vya plastic

    Wapi naweza kupata viti vya plastic kwa bei ya jumla.. either kutoka kwa supplier au manufacturer. Nataka kwa ajili ya kufanya biashara ya kukodisha vitu, kwenye shughuli mbali mbali.
  5. kiredio Jr

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Msaada: Kuunganishwa na Fursa za Kazi za Kusafiri na Mabasi ya Mikoani

    .
  6. H

    JamiiForums Tanzania Wenyeji wa Mbeya, nahitaji kiwanja kwa bajeti ya 2m to 3m

    Wakuu poleni na majukumu. Moja kwa Moja kwenye mada, nahitaji msaada wenu, Mimi ni mhitimu wa chuo Cha MUST mbeya nlieamua kujitafuta hapa hapa mbeya. Baada ya kujitafuta kwa miezi kadhaa kitu Cha kwanza ikawa ni kutafuta eneo kwa ajili ya makazi. Kwa bajeti ya Milion2 hadi 3 naweza pata...
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mpenzi (ke) awe dar na asitoke familia ya kishua

    Nahitaji mpenzi Umri wangu 33 Mpenzi ninayemuhitaji awe anaishi dar na asitoke familia ya kishua Nimeambatanisha picha ukiniridhia njoo pm
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mchumba tukiridhiana aje awe mke

    Mimi ni kijana umri 33 Rangi black Mrefu wastani Nahitaji mwanamke mtulivu aje awe mpenzi tukiridhiana aje awe mke. Makazi yangu dsm
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Cheti Cha Kuzaliwa

    Nahitaji mtu ambaye anaweza kunisaidia kupata cheti changu cha kuzaliwa harafu akanitumia haraka iwezekanavyo. Scammers usipoteze muda wako, malipo yatafanika face to face na mtu wangu ambaye yupo bongo. Nahitaji mtu mwenye uzowefu na anajua kitachotakiwa kufanyika. Kwa bahati mbaya niliondoka...
  10. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengeneza AI mfano wa CHATGPT

    Project hiyo hapo Nachohitaj mtaalamu anidavulie Gharama na nini cha kufanya
  11. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Nahitaji vijana waliomaliza form6 au wanachuo Tufanye nao kazi

    Vijana 6 wakufanya nao kazi SMARTWORK Kazi yao itakua ni kuniletea wateja wa internet bundle Tutalipana hapo hapo. Malipo ya juu 30,000 kwa siku Maripo ya chini 10000 kwa siku Kama upo tayari niandikie mawasiliano yako hapo chini Mawasiliano yyte kama email Simu Acc ya social media Au yute...
  12. Prayallthetime

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Ushauri Wenu: Nimejawa na hofu ya ugonjwa wa UKIMWI

    Ndugu Zanguni Poleni Na Majukumu . Nimekuja hapa kwa ajili ya ushauri wenu ,atakaenibeza Mungu amsamehe . Nimewahi kuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mzuri . Siku ya kwanza wakati nashiriki nae nimeshiriki nae kwa kupeana denda na kuchezeshea mzee sehemu yenyewe ,kuingia ikafanye kazi...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji usafiri wa Lori kwa dereva anayepita Ziba Igunga

    Nataka kusafiri kwenda Ziba lakini Sina hela ya basi naomba kama Kuna dereva wa Lori anayepita njia ya Igunga aniache Ziba, nitachangia kidogo
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua MAGNETIC QUANTUM ANALYSER. Anayeuza tuwasiliane

    Jamani Nina hitaji hichi kifaa kinaitwa MAGNETIC QUANTUM ANALYSER kina pima maradhi mwilini ninashida nacho, So anayeuza au kama unafahamu mahali kinapouzwa Ninakihitaji haraka iwezekanavyo.
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu 10 niwauzie raman za nyumba kwa bei rahisi tu hamna haja ya kuumizana wote tujenge kwa ramani

    Raman hizi zote unazoziona hapa zina vyumba 2 vya kulala Nichek 0743 257 669 Natoa ofa kwa watu 10 tu niwape hizi raman Nina stock ya raman zaidi ya 500 na nachora nyingine mpya kila siku niletee oda yako Sitak Mtanzania ujenge bila raman ya nyumba Sasa njoo whatsapp 0743 257 669 ili nikupe...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji jackhammer ya kukodi

    Napatikana dar nahitaji jackhammer ya kukodi mwenye nayo anicheki 0672704891
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Usaidizi Kujua Neno "solid" kwa kiswahili

    "Solid" ni nini kwa kiingereza?
  18. ipyax

    JamiiForums Tanzania Nahitaji magunia ya kuwekea tumbaku

    Waheshimiwa nakuja kwenu kwa heshima na taadhima siku ya leo, nahitaji magunia ya kuwekea tumbaku (Heysian bags). Hapo Tanzania naweza nikaipata wapi kwa bei nzuri?
  19. W

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pesa za moto

    hakuna muda wakupoteza nahitaji pesa zachap chap .yan ndani yamuda mfupi maisha yangu yawe good. Nahitaji wazee wa connection mnishike mkono kijana wenu NOTE; kwenye hili niko serious zaidi ya unavyodhani
  20. D

    JamiiForums Tanzania Inahitajika nyumba ya Kupanga Kigamboni haraka.

    Habari wadau. Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni. Nyumba isiwe mbali na barabara ya lami inayotoka ferry , maji yawepo , tiles na aluminium muhimu pamoja na gypsum, bila kusahau Usalama na itapendeza kama kutakuwa na umeme wa kujitegemea. Nyumba iwe na Chumba master, sebule na...
Back
Top Bottom